Anguko la kihistoria limekaribia

Anguko la kihistoria limekaribia

Anguko la kihistoria linakuja kwa kasi sana,ni sawa na mtu aliyeanguka kwa utelezi wa matope ,kila anapojitahidi kujiokoa ndipo anapozidi kupalilia anguko ,ni sawa na anguko hili kadri anavgozidi kurekebisha ndiyo speed ya anguko inaongezeka
Nani anaanguka?
 
Huwezi kuipangia asili cha kufanya kwa hisia zako tu.

Waulize wenzio wa SDA walitabiri siku ya mwisho nini kilitokea?
Huwezi kuitabiri kesho hata ukiwa special.
 
Huwezi kuipangia asili cha kufanya kwa hisia zako tu.

Waulize wenzio wa SDA walitabiri siku ya mwisho nini kilitokea?
Huwezi kuitabiri kesho hata ukiwa special.
Mungu akupe uzima ,ushuhudie anguko la kihistoria mwaka huu,upende au usitake lazima litokee tu
 
Mungu akupe uzima ,ushuhudie anguko la kihistoria mwaka huu,upende au usitake lazima litokee tu
Mungu ni nani?
Kwanini anipe uzima mimi mzima wakati kuna watu mahututi wanaohitaji msaada wa haraka hivi sasa?

Wewe ni nani mpaka useme nitake nisitake lazima itokee?
 
Mungu ni nani?
Kwanini anipe uzima mimi mzima wakati kuna watu mahututi wanaohitaji msaada wa haraka hivi sasa?

Wewe ni nani mpaka useme nitake nisitake lazima itokee?
Yameisha mkuu,siku itafika utajionea
 
Yameisha mkuu,siku itafika utajionea
Hakuna kitu kama hicho na hakitakuja kutokea sababu huna uwezo wa kujua kesho.

Kama ni hivyo, wewe tayari unajua siku yako ya kufa?
Acha kupotosha watu kwa hisia na ndoto zako binafsi.
 
Hakuna kitu kama hicho na hakitakuja kutokea sababu huna uwezo wa kujua kesho.

Kama ni hivyo, wewe tayari unajua siku yako ya kufa?
Acha kupotosha watu kwa hisia na ndoto zako binafsi.
Imeisha ,tambua anguko lipo na halina budi kutokea na walio katika mfumo huo wametiwa upofu
 
Giza likizid ndo kunakaribia kucha
Hii ni kweli. Pia kibiblia Unabii wowote mzuri unapotaka kutimia mambo huharibika kwanza. Mfano wakati unabii wa kurejea upya kwa wana wa Israeli katika nchi yao ya asili ulipokaribia Waisraeli walikioba cha moto mbele ya Hitla. Hilla hakujua kuwa alikuwa anaharakisha kuundwa kwa Taifa la Israel. Tanzania hivyo hivyo mambo yanapozidi kuwa mabaya ndipo na unabii ulionenwa kuhusu Tanzania unakaribia kutimia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom