huyo kijana anatamani uwaziri nishati na madini mnafiki tu.
Kumbukeni kuwa ana deni la $ millioni moja alizokopeshwa na shemejie alizotumia kumuondoa Shelukindo na bado hajazilipa; akipata huo uwaziri kwanza hawezi kusafiri kwenda U.S.A. kwani ana kesi [cyber crime] na mtoto wa Rockfeller anamgoja akitua tu akamatwena pili itabidi aanze na wizi kama Ngeleja na Maige ili kupata mshiko wa kulipia deni!! Sasa mambo ndio hayo nchi itaendelea kweli?