STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,772
- 555
Huyu Dogo leng lake ni kuchukua nafasi ya Ngeleja ndiyo maana ana kaunafiki fulani kakuuma na kupuliza, Nilishangaa sana alipokuwa haja sign kwa Zito maana ni upuuzi wa hali ya Juu kwa M/kiti wa Kamati yeyot ambaye haku sign.. Huyu hana tofauti na Cheyo wa Udp