Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Mmh!! Tunashindwa kuelezea udhaifu wa chama chetu,tukieleza wanasema mamluki mala gamba,ila tuna dosari saana tuliangalie hilo.

Toka Burton sat shop.
 
CCm jibuni hoja tata kwa wananchi kama vile kutekwa na kuteswa kwa dr ulimboka, kuuawa kwa mwangosi, change ya rada, fedha za epa, kashfa za richmond, kagoda, meremeta, fedha zilizofichwa nje kifisadi, shehena ya nyara ilisafirishwa kwa meli ya Kinana, twiga wetu aliyesafirishwa na dege la jeshi la falme za kiarabu bila kung'amuliwa na rada ya chenge, uchangishaji wa fedha kuwezesha wabunge kupitisha bajeti, kufungia gazeti la mwanahalisi wakati redio fulani zikihubiri usiku na mchana chuki za kidini, kupunguza viwango vya ufaulu kwa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza, wanafunzi kufaulu kwenda sekondari ilihali hawajui kusoma na kuandika, kunyanyasa walimu kwa kutumia mahakama, kunyanyasa vyama vya upinzani kwa kutumia polisi, kusaini mikataba feki inayobadili majina km vl richmond, dowans nk, mauaji ya albino, malipo ya wastaafu EAC, bodi ya mikopo, uharibifu wa mazingira utokanao na uwekezaji mf. North Mara, uuaji wa raia unaofanywa na jeshi la polisi, tume ya uchaguzi isiyo huru, viongozi na watoto wa viongozi wa serikali kujilimbikizia mali, ajira za kiukoo na kujuana katika taasisi nyeti za serikali, RuSHWA KweNyE ChAgUzI Za CcM Hadi boss wao anatamka hadharani, na baya zaidi kilo ya unga, mchele, maharage, nk zinapanda kwa kupaa na kwa wasira, nape, na mwigulu tatizo ni chadema. CCM, msizoee usanii maana kuna siku mtashangaa! Nchi hii tunaishi binadamu wenye akili pengine zaidi yenu. Acheni kutuona hatunazo!
 
Mbowe na Dr Slaa wanajua gharama ya kumfukuza Zitto; kama Juliana anatiwa hatiani unawezaje kymwacha Zitto?! Kwann pia Juliana asingejifukuzisha mwenyewe? Zitto ana influence kubwa sana kwa wananchi na wanachama wengi wa cdm; hawezi kufukuzwa kirahisi na cdm kubaki salama licha ya kuwa na tuhuma nyingi dhidi yake;

Sure.
Mfano huo naulinganisha na mpango wa kuwafukuza Lowassa na Chenge CCM. Wale hawafukuziki kirahisi. Siasa ni mchezo mchafu sana
 
Mwenzako nepi nnayo ni katibu mwenezi na tunajua kazi zao hao ni propaganda na wanalipwa kwa hiyo kazi sasa wewe mwenzetu vip? Na hapo usikute umenunuliwa supu ya kongoro tu ndio unakuja kuchokoza watu humu!
 
Mkuu chama,
Nasoma hoja nzito za Spike Lee, kaongea ukweli mtupu.

Mkuu Ritz
Ningekuwa mtu wa kuamini bao ningesema Spike Lee anafanya kazi na professor Maji Marefu ila alichoongea ndio ukweli mtupu; sanda ipo tayari kilichobaki ni washonaji tu!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mwenzako nepi nnayo ni katibu mwenezi na tunajua kazi zao hao ni propaganda na wanalipwa kwa hiyo kazi sasa wewe mwenzetu vip? Na hapo usikute umenunuliwa supu ya kongoro tu ndio unakuja kuchokoza watu humu!......

Kituko kingine hiki hamchoki kuchonga ID mpya kila siku?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Keep wishing!
Wana JF.
Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema). Kimejipa jina hilo maudhui makuu katika jina hilo, ni mawili tu.

Demokrasia na Maendeleo.

Demokrasia kwa maana ya fursa kwa mwanachama na kiongozi wake asiyeweza kuipata katika chama kingine chochote kile nchini, fursa ya kushiriki katika maamuzi muhimu ya chama.

Maendeleo kwa kila Mtanzania, yanayotokana na mgawanyika sawa wa rasilimali za taifa hili.

Leo chama hicho kinapata mamilioni kwa ajili ya maendeleo ya chama kupitia ruzuku ya Serikali, lakini mamilioni yote hayo hatuoni yanavyoendeleza wanachama wake, achilia mbali chama chenyewe hicho.

Watanzania wapenda amani wameishakuwa makini na Chadema kwamba chama hicho ni hatari kwa ustawi wa jamii.

Viongozi wanaounda Baraza Kuu na Kamati Kuu, ni wale waliokosa uvumilivu ndani ya vyama vya siasa walivyokuwamo mwanzo, wengi wao wakiwa wametokea CCM baada ya matamanio yao ya kupata madaraka waliyoyataka kukosekana huko, akiwamo DK. Slaa mwenyewe.

Ni wazi siku si nyingi anguko la Chadema tutaliona miongoni mwa hao watapatikana kina Yuda Iskarioti waliokata tamaa, na hilo ndiyo litakuwa anguko la Chadema.
 
Wana JF.
Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema). Kimejipa jina hilo maudhui makuu katika jina hilo, ni mawili tu.

Demokrasia na Maendeleo.

Demokrasia kwa maana ya fursa kwa mwanachama na kiongozi wake asiyeweza kuipata katika chama kingine chochote kile nchini, fursa ya kushiriki katika maamuzi muhimu ya chama.

Maendeleo kwa kila Mtanzania, yanayotokana na mgawanyika sawa wa rasilimali za taifa hili.

Leo chama hicho kinapata mamilioni kwa ajili ya maendeleo ya chama kupitia ruzuku ya Serikali, lakini mamilioni yote hayo hatuoni yanavyoendeleza wanachama wake, achilia mbali chama chenyewe hicho.

Watanzania wapenda amani wameishakuwa makini na Chadema kwamba chama hicho ni hatari kwa ustawi wa jamii.

Viongozi wanaounda Baraza Kuu na Kamati Kuu, ni wale waliokosa uvumilivu ndani ya vyama vya siasa walivyokuwamo mwanzo, wengi wao wakiwa wametokea CCM baada ya matamanio yao ya kupata madaraka waliyoyataka kukosekana huko, akiwamo DK. Slaa mwenyewe.

Ni wazi siku si nyingi anguko la Chadema tutaliona miongoni mwa hao watapatikana kina Yuda Iskarioti waliokata tamaa, na hilo ndiyo litakuwa anguko la Chadema.

KAJIUNGE NA WASIRA msubiri.
 
Huu ndiyo ukweli nimetoa angalizo mapema kabisa.
 
Sure.
Mfano huo naulinganisha na mpango wa kuwafukuza Lowassa na Chenge CCM. Wale hawafukuziki kirahisi. Siasa ni mchezo mchafu sana

Sio ccm wala chadema; vyama vya bongo watu hawafuati sera badala yake wanafuata watu! Ndio maana utakuta wanasiasa wetu wengi ni watu wa kuhama vyama kwa kuwa anajua kuna wajinga wanamfuata yeye na sio sera za chama!
 
wewe kama si mmachame basi kibosho sindo washika dau

Wewe ndiyo wale wale wa kutaka utawala wa majimbo!! Usitugawe kwa ukanda!! Kwa taarifa yako Moshi nilisoma miaka hiyo kukiwa na shule za Secondary za serikali tu. Mimi ni mpenda maendeleo natoka miakoa ya mbali kabisa ila akina Mangi nawaheshimu tu maana ni majembe. Nilijifunza mengi sana toka kwao enzi hizo na nimefuata nyayo zao na nimeuona mwanga. Sikupata mwenza wa huko ila niliyempata hana tofauti na majembe ya huko!!! Ni manager wa mambo yangu!! Nilijifunza toka kwao hao haoa wamachame na wakibosho unaowabeza!! Nenda kwao ukaone maendeleo. Tunataka Rais ambaye analeta maendeleo!! Kama Rais anatoka maeneo ambayo maendeleo duni, nyumba za nyasi na sherehe za ngoma kwa wingi unategemea nini? Kule kwa kina Mangi nilipita huko miaka kama 5 iliyopita hakuna nyumba ya nyasi tena, kila uwanja una nyumba ya block, umeme na maji!! Sasa ni kwa nini nisishabikie maendeleo!!!
 
'''May your day be panctuated with a revanchism whose magniloquence can only be theatropistically analysed by the use of a reminiscent excarbation.

I hope you don't mind my apostacy. I know your arquistic impedance might not engulf this kind of debanched pedagogy because of its repuginatious tolecentrism... '''


***Usipo elewa ujue na wewe haujaeleweka***
 
Kituko kingine hiki hamchoki kuchonga ID mpya kila siku?

Chama
Gongo la mboto DSM.......

Wewe unayo ID ya zamani imekusaidia nini kuondokana na Uj...nga ulionao?
 
Mkuu Ritz
Ningekuwa mtu wa kuamini bao ningesema Spike Lee anafanya kazi na professor Maji Marefu ila alichoongea ndio ukweli mtupu; sanda ipo tayari kilichobaki ni washonaji tu!

Chama
Gongo la mboto DSM.....

Kipofu na Kiziwi wanaongozana!!!
 
'''May your day be panctuated with a revanchism whose magniloquence can only be theatropistically analysed by the use of a reminiscent excarbation.

I hope you don't mind my apostacy. I know your arquistic impedance might not engulf this kind of debanched pedagogy because of its repuginatious tolecentrism... '''


***Usipo elewa ujue na wewe haujaeleweka***

.......

Ha haaaa,duh!hii kali
 
Wana JF.
Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema). Kimejipa jina hilo maudhui makuu katika jina hilo, ni mawili tu.

Demokrasia na Maendeleo.

Demokrasia kwa maana ya fursa kwa mwanachama na kiongozi wake asiyeweza kuipata katika chama kingine chochote kile nchini, fursa ya kushiriki katika maamuzi muhimu ya chama.

Maendeleo kwa kila Mtanzania, yanayotokana na mgawanyika sawa wa rasilimali za taifa hili.

Leo chama hicho kinapata mamilioni kwa ajili ya maendeleo ya chama kupitia ruzuku ya Serikali, lakini mamilioni yote hayo hatuoni yanavyoendeleza wanachama wake, achilia mbali chama chenyewe hicho.

Watanzania wapenda amani wameishakuwa makini na Chadema kwamba chama hicho ni hatari kwa ustawi wa jamii.

Viongozi wanaounda Baraza Kuu na Kamati Kuu, ni wale waliokosa uvumilivu ndani ya vyama vya siasa walivyokuwamo mwanzo, wengi wao wakiwa wametokea CCM baada ya matamanio yao ya kupata madaraka waliyoyataka kukosekana huko, akiwamo DK. Slaa mwenyewe.

Ni wazi siku si nyingi anguko la Chadema tutaliona miongoni mwa hao watapatikana kina Yuda Iskarioti waliokata tamaa, na hilo ndiyo litakuwa anguko la Chadema........

Sijui kama unakizungumza ni kitafanikiwa, kwanza nikufahamishe kuwa kazi ya ruzuku za vyama ni kufanya shughuli za kueneza chama na kazi yakodi zinazokusanywa ni kwa ajili ya shuguli za maendeleo!!!!!
 
Umetoka wapi wewe Senior Member na fikra zako mgando! Endelea na woga wako hata Misri n Tunisia, Yugoslavia(then) kulikuwa na watu COPYRIGHT na WEWE! Keep your dead brain or REGENERATE WITH NEW IDEAS! YOU STAY THERE YOU ARE A DEAD PIECE
 
Wana JF.
Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema). Kimejipa jina hilo maudhui makuu katika jina hilo, ni mawili tu.

Demokrasia na Maendeleo.

Demokrasia kwa maana ya fursa kwa mwanachama na kiongozi wake asiyeweza kuipata katika chama kingine chochote kile nchini, fursa ya kushiriki katika maamuzi muhimu ya chama.

Maendeleo kwa kila Mtanzania, yanayotokana na mgawanyika sawa wa rasilimali za taifa hili.

Leo chama hicho kinapata mamilioni kwa ajili ya maendeleo ya chama kupitia ruzuku ya Serikali, lakini mamilioni yote hayo hatuoni yanavyoendeleza wanachama wake, achilia mbali chama chenyewe hicho.

Watanzania wapenda amani wameishakuwa makini na Chadema kwamba chama hicho ni hatari kwa ustawi wa jamii.

Viongozi wanaounda Baraza Kuu na Kamati Kuu, ni wale waliokosa uvumilivu ndani ya vyama vya siasa walivyokuwamo mwanzo, wengi wao wakiwa wametokea CCM baada ya matamanio yao ya kupata madaraka waliyoyataka kukosekana huko, akiwamo DK. Slaa mwenyewe.

Ni wazi siku si nyingi anguko la Chadema tutaliona miongoni mwa hao watapatikana kina Yuda Iskarioti waliokata tamaa, na hilo ndiyo litakuwa anguko la Chadema.
Utaanguka wewe na WASIRA. CHADEMA mtaiacha.
 
Spike Lee ni mchovu kama walivyo magamba wengi wakiongozwa na Katibu wa Itikadi. Yale yale ya fisi kusubiri mkono kudondoka. Una hofu ya kufunguliwa mashtaka wananchi wakipata ukombozi wao. We anza mdogo mdogo kwani wimbi hili ni kubwa na mbinu zenu za propaganda ni za kitoto. Kwa mawazo finyu kama hayo kewanini msiondoshwe tu? kapate msosi naona hata njaa inachangia. Alijisemea Mch Msigwa bungeni kuwa kwa kujikita kwenye ukada Prof wa magamba mchango wake ni chini ya kiwango cha student wa form 2
 
Wewe unayo ID ya zamani imekusaidia nini kuondokana na Uj...nga ulionao?

Chama atakuwa chama siku zote; ujinga unatofautiana naona mwenzangu umekutopea!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom