Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Mleta mada hajielewi,hata wasira alisema mwisho wa CDM ilikuwa 2014 kumbe walikuwa wamempandikiza Zito na wenzake wakiue chama.CDM haitakufa kirahisi na kama ikifa fikra na mawazo vitabaki kwa watanzania na itakuwa tabu zaidi utaona mwenyewe.Hata watoto wako unawadhulumu maisha yao kwa kuleta uzi kama huu hapa.Tunashukuru tumepandikiza kitu kwa taifa,moto hautazima kamwe.
 
.... Wewe Mkuu Unafanya Tu Marudio, Walishatabili Wakubwa Wako Kina Chemba, Nyani Na Nepi Mpaka Leo Wako Kimya. Nadhani Hawaamini Macho Yao. Nakuombea Maisha Marefu Ushuhudie Jinsi Cdm Itakavyowaletea Maendeleo Wananchi.
 
Mleta mada hajielewi,hata wasira alisema mwisho wa CDM ilikuwa 2014 kumbe walikuwa wamempandikiza Zito na wenzake wakiue chama.CDM haitakufa kirahisi na kama ikifa fikra na mawazo vitabaki kwa watanzania na itakuwa tabu zaidi utaona mwenyewe.Hata watoto wako unawadhulumu maisha yao kwa kuleta uzi kama huu hapa.Tunashukuru tumepandikiza kitu kwa taifa,moto hautazima kamwe.

Amini nakuambia nchi hii haitatokea rais kutoka chadema, atakayeitoa madarakani ccm.. ni zitto pekee.
 
Hao wanatumika kama dodoki, muda wao ukiisha yaani wachaga wakishika dola angalia mazengwe watakayotengenezewa, la Zitto ni dogo, just wait. Kama Nyerere alivyowatumia waislam kupata uhuru na baadae akawatosa, the same applies !

Nyerer si ni ccm? Kumbe mwanzilishi wa ubaguzi ni ccm.Ubaguzi Ni sera ya ccm toka uhuru
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Utakuwa si mzima ww.kichwan unamatatizo.
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Mliipa mwaka siku zikapita,miezi ikaisha,mwaka mlioipa ukaisha na sasa imekuwa miaka na miaka CHADEMA yetu bado Ina songa mbele na mwaka huu inatinga magogoni hapo ndipo mtakapoanza rasimi kuokota makopo jalalani.
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.
Ubatili mtupu, sema ungependa iwe hivyo. Huna hata sababu za kutushawishi
 
hujielewi unafata mkumbo kama samaki. achana nao hao wachaga wanakupoteza wakati, slaa mwenye ni mzizi msaliti alilisaliti kanasa katoloki kwa uzizi wake wakumfukuza upadre, eti leo hii nilinataka kura za wanainchi. ha ha ha ha hakika slaa kuwa na raisi katika nchi hii ni sawa kusema sokwe ataitawala tanzania. shutuka wewe mtanzania, acha kuyumbishwa na warombo

wewe ndo hujielewi! mbona huku Sumbawanga wengi wao ni Chadema?imamaana na sisi ni Wachaga?au maeneo yote ambayo ccm mlipigwa ktk uchaguzi serikali za mitaa wapiga kura walikuwa Wachaga? acha UTAHAILA, ujinga wenu wa kueneza ukabila hautawasaidia chochote! 2010 wakati wa harakati za uchaguzi mlifanya kampeni za ukabila na udini ambapo mliwadanganya ndugu zetu WAISLAMU kuwa mtawapa mahakama ya KADHI mkasahau kuwa serikali haifungamani na upande wowote ktk KUHABUDU! sasa timiza hiyo ahadi! Nyam...b...a...fu nyinyiem!
 
teh teh, kama ccm inavyowatumia wanyonge wa nchi hii kujipatia kura ili kuendelea kuwafisadi.

ccm mwaka huu watajuta na kauli zao za kibaguzi. Waislam wanasema wamechoshwa kutumiwa na ccm kujipatia kura, bila mahakama ya kadhi ccm haipati kura zao. Maaskofu nao wametoa waraka unasema wamechoka kuchagua kwa mazoea ya chama,watachukua maamuzi magumu october kama ccm itaitambua mahakama ya kadhi. Kwahiyo ccm wako njiapanda na bado huyo mteule wao sijui atakuwa mpagani.
 
acha ife, maana imetugeuza watanzania kama wajinga wote, nasema chadema kufa kufa kufa. wachaga wakapalilie migomba yao.

we komaa na UDP ya wasukuma!!!!CCM waaachie matajili na CHADEMA waachie wakulima na wasakatonge!!!
lakini wewe kinakufaa chama cha MAKENGEZA,chama cha wapiga dili...
 
we komaa na UDP ya wasukuma!!!!CCM waaachie matajili na CHADEMA waachie wakulima na wasakatonge!!!
lakini wewe kinakufaa chama cha MAKENGEZA,chama cha wapiga dili...

Zitto una marombo yanavyohaha. ha ha ha ha.
 
Last edited by a moderator:
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Endelea kusubiri wenzako walisema haitafika2015 itakua imesambaratika naona wewe umeongeza mda tatizo nin au mshasahau mlishatoa kauli kama hyo?
 
Hao uliowataja washawahi kuwa na nyasifa gani? ndani ya chama hicho cha kichaga.

ulitaka wanachama wote tuwe wenyeviti? mwaka huu tumewashikia chini hamfurukuti na ndio mwisho was chama chakavu cha mafisadi
 
ulitaka wanachama wote tuwe wenyeviti? mwaka huu tumewashikia chini hamfurukuti na ndio mwisho was chama chakavu cha mafisadi

Tofauti na zitto mwengeni wote ni viroboto tu.
 
acha ife, maana imetugeuza watanzania kama wajinga wote, nasema chadema kufa kufa kufa. wachaga wakapalilie migomba yao.

Hizi ni akili za king'ombe ng'ombe zinapatikana lumumba tu. Endeleni kusubiri baada ya uchaguzi mtakuja na hoja cdm haifiki2020.
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

mapunguani wenzio walitabiri itakufa 2013 lakini had I Leo inazidi kujiimarisha tu, kwa sasa hakunaga kama cdm huku kanda ya ziwa.
 
Back
Top Bottom