acha ife, maana imetugeuza watanzania kama wajinga wote, nasema chadema kufa kufa kufa. wachaga wakapalilie migomba yao.
Ni masikitiko kwa kauli hizi Kwani chama ni cha wote mbona mi mgogo na ni cdm? ???.
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.
Alamsiki.
Utawaju waso na hoja.je na tundulisu,slaa,mnyika,batroba,salum mwaalim,pr safari nao hawa wachaga? Utumwa wa akili kazi!
Porojo za kike!acha ife, maana imetugeuza watanzania kama wajinga wote, nasema chadema kufa kufa kufa. wachaga wakapalilie migomba yao.
Siku hizi kila mtu anajiona mchambuzi wa mambo ya kisiasa. Hii ndio athari ya watanzania kubadilishwa uelekeo kila upepo fulani unapovuma. Si ajabu likitokea jambo jema kwa CHADEMA wiki mbili zijazo, mtu huyo huyo 'aliyetabiri' hiki anakuja kukikana!Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.
Alamsiki.
Utaju waso na hoja.je na tundulisu,slaa,mnyika,patroba,salum mwaalim,pf safari nao hawa wachaga? Utumwa wa akili kazi!
Hizo 'njozi' zilishaanza kuotwa na 'mabosi' wako akina Wassira, Nape na Nchemba, kuwa Chadema itakufa before 2015, lakini badala yake hiko chama ndiyo still gping strong.Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.
Alamsiki.
Hizo 'njozi' zilishaanza kuotwa na 'mabosi' wako akina Wassira, Nape na Nchemba, kuwa Chadema itakufa before 2015, lakini badala yake hiko chama ndiyo still gping strong.
Kinachotokea sasa ni vice versa, chama kongwe ndiyo lipo ICU.
Inasubiriwa tu kauli ya 'madaktari' waamue tu kuizimia mitambo ya 'oxygen' inayoisadia kupumua, ili tutangaze buriani Sisiem.
Hakuna kilichowahi kuwa na mwanzo hapa duniani, kilikosa kuwa na mwisho.
Hebu tujiulize, ipo wapi KANU ya Kenya?
Tujiulize pia ipo wapi UPC ya Uganda?
Tujiulize ipo wapi UNIP ya Zambia?
Tukiulize pia ipo wapi MCP ya.Malawi?
Sikujua wewe ni ---- kiasi hicho..kumbe cho..k hivyoacha ife, maana imetugeuza watanzania kama wajinga wote, nasema chadema kufa kufa kufa. wachaga wakapalilie migomba yao.
Tulishamalizana na Zitto- Tundu LissuMuda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.
Alamsiki.