Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.

Kwa wimbo kama huo lumumba hawawezi kukupa posho leo wenyewe wanajua huo wimbo ulishachuja.
 
Hizi ni akili za king'ombe ng'ombe zinapatikana lumumba tu. Endeleni kusubiri baada ya uchaguzi mtakuja na hoja cdm haifiki2020.

Unaakili timamu unampa kura mtu aliyelaniwa na mungu hadi kamufukuza upadre kwa uzizi.
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Kwamba Chadema itakufa au itakuwepo, haijalishi. Hakuna chama kitakuwa na umri wa taifa. Vyama vitabadirika na vingine kufa siku ziendavyo. Lakini chama chochote kitakachoshika hatamu kitapaswa kiwatumikie wananchi wote walio katika mipaka ya ardhi hii.
 
Wewe si'mtabiri wa kwanza hata wassira alisema kitakufa 2014 lakini bado ameanza komba nawengene wote mtakufa mtaacha chama cha watanzania wanyonge kikidunda
 
Hoja dhaifu imejaa wapumbavu na mashabiki wa ccm badala ya kufurahi CHADEMA inakufa nyie ndo mnahuzunika tena mwenzenu aliyesema serikali tatu zikipita ataingia msituni ameshatangua mleta mada na huenda na wewe unataka kufuata mwenzako safari njema.
 
hahhahahhahhahahhah ianguke tena mara mbili

Mtahangaika sana,mtaandika sana,mtasema sana lakini hii inaonyesha ni kiasi gani CHADEMA ina nguvu humu Jf inakubali kuliko chama cha majizi na mafisadi ccm.
 
Hao uliowataja washawahi kuwa na nyasifa gani? ndani ya chama hicho cha kichaga.


bas wachaga waliopo MAGAMBANI,CUF,NCCR,TLP wamepotea chama, bkoz chama chao ni CDM___Sasa inabid wachaga wote waliopo nje ya CDM waludi Kwenye chama chao CDM
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.
Akili yako imejaa matope pia uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana
 
Chadema siyo chama ni genge la wahalifu ambalo limejificha kwenye siasa.
 
bas wachaga waliopo MAGAMBANI,CUF,NCCR,TLP wamepotea chama, bkoz chama chao ni CDM___Sasa inabid wachaga wote waliopo nje ya CDM waludi Kwenye chama chao CDM
siasa za maji taka na mawazo ya kijinga.
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Mpaka mnye kabisa mwaka huu hili zimwi halitowaacha yote mtakayo yapanga yatagundulika kabla hayajatimia CDM mpango wa mungu.
 
bas wachaga waliopo MAGAMBANI,CUF,NCCR,TLP wamepotea chama, bkoz chama chao ni CDM___Sasa inabid wachaga wote waliopo nje ya CDM waludi Kwenye chama chao CDM

unaweza ukanitajia hata watano wachanga ambao washawahi kushika nafasi ya juu ndani ya vyama ulivyovitaja.
 
Back
Top Bottom