Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

hujielewi unafata mkumbo kama samaki. achana nao hao wachaga wanakupoteza wakati, slaa mwenye ni mzizi msaliti alilisaliti kanasa katoloki kwa uzizi wake wakumfukuza upadre, eti leo hii nilinataka kura za wanainchi. ha ha ha ha hakika slaa kuwa na raisi katika nchi hii ni sawa kusema sokwe ataitawala tanzania. shutuka wewe mtanzania, acha kuyumbishwa na warombo
hii chuki ya ubaguzi unayoipandikiza haitakuacha salama kamwe, wewe na vizazi vyako vyote kamwe!
 
Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.
jiunge na ccm isiyojaa ubaguzi, maana wanaochota mabilion kule escrow ni watanzania wote na sio tu kina chenge, tibaijuka, ngeleja na mafisadi wenzao!
 
....kweli chadema imewabana pichu mpaka hamlali, watanzania tumeikubali chadema na kura tutawapa, wawe wachaga au wakristo tunajua mija tu hawajashiriki kuunda meremeta, Richmond, epa na hakuna hata mmoja aliyepokea na kushiriki kwenye escrow. Ni mara mia wachaga waleta maendeleo kuliko majambazi tunayo yalea magogoni kwa kodi zetu na bado yanatupiga .....
ubarikiwe mkuu!
 
Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.
Propaganda za kike!
 
Haa haa yaani chama kife sababu ya kufukuzwa mwanachama wake mmoja? Kama kikifa kitakuwa hakikuwa chama bali ni kikundi cha mtu! Chama ni wanachama na sio mwanachama, chama ni sera na sio mtu, chama ni viongozi na sio kiongozi! Wale waliokuwa mashabiki wazito waweza kuondoka naye, lakini wale wanaotambua chama sio mtu hakika wataendelea kukipigania chama hiki.
 
Utajua waso na hoja.je na tundulisu,slaa,mnyika,patroba,salum mwaalim,pf. safari nao hawa wachaga? Utumwa wa akili kazi!

Hao wanatumika kama dodoki, muda wao ukiisha yaani wachaga wakishika dola angalia mazengwe watakayotengenezewa, la Zitto ni dogo, just wait. Kama Nyerere alivyowatumia waislam kupata uhuru na baadae akawatosa, the same applies !
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Ndoto za mchana huwa zinadanganya jamani,hasahasa kama umekula makande halafu ukanywa na maji mengi ni hatari mno.
 
Tambua kigoma ni mkoa wa wasaliti tangu mwanzo. Unamkumbuka zito,tambwehiza,nzanzungwako,kabour. Hawa waliasi upinzani.

Kumbe na tambwe ni wa kigoma? Basi hawa watu watakuwa na tatizo, napata hofu kuwapa uraisi wanaweza confiscate nchi Burundi au Congo
 
Yawezekana kisife lakini kutegemea ndo kitakuwa chama tawala ni UPUMBAVU wa kiwango cha juu mno.
 
mmechanganyikiwa, sasa mnaonesha jinsi mlivyokuwa wehu, mnaropoka tu, chadema wamethubutu kuwahakuna maarufu mtu kwenye chama, ccm hawawezi hilo mchukuenihuyo zito muone huo umaarufu wake.
 
Chama gani cha siasa wanaosaliti na kukiuka kanuni ni wa kabila nje ya wachaga Wakati kimejaa wachaga tu. Jiulize na chukua hatua sasa na kutoka familia ya Mushi, minja, lyimo, Urasa, Chuwa, Lema, mtei n.k.

Hivi wachaga mlio ccm mnasubiri nn?mbona mnafukuzwa huko lakini hamtoki?
 
Muda si mrefu baada ya uchaguzi mkuu kuisha Mwaka huu naiona chadema ikisambaratika. Amini nawambieni na asiye na masikio na asikie.

Alamsiki.

Unabii wa namna hii umetolewa mara nyingi sana, na kadri wanavyosema hivyo ndivyo Chadema inazidi kupata. Tungoje tu muda utasema.
 
Back
Top Bottom