Mwanamutapa
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 513
- 489
Sijakataa mkuu ila sasa utayari na uimara wa chama kinacho tarajiwa kuchukua dola uko wapi? kama viongozi wa ngazi za chini na hata ngazi za juu wako fragile kiasi hiki we unadhani unaweza kuwaaminisha wananchi wawape ridhaa? watanzania mda mwingine sio wajinga kaka..Nidhamu ya kiuongozi ndio nguzo ya mafanikio,usi jadili hili neno "nidhamu ya kiuongozi" kwa upeo mdogo hauto elewa kamwe ninacho kiongelea hapo.
Hatuhitaji kuwa na chama kilichojengwa na kuwa na mizizi sana ili kitawale we just need few people and other will follow MMD ya Chiluba ilikuwa na grassroots kama UNIP ya Kahunda? UDF ya Bakili Muluzi ilikuwa na misingi imara mpaka vijijini kama MCP ya Banda? TNA ya Uhuru Kenyatta ilikuwa na organization imara kama ODM ya Raila? Watanzania tukubali ni wajinga kwasababu chama kinapochukua nchi na kuunda serikali hakindoi kila mtendaji wa serikali maana serikali ni cabinet na highly government officials, it will be unfair my friend to compare CCM and opposition parties in Tanzania. CCM alongside ANC and FRELIMO were built in sweat and blood of the people we don't expect new parties to march their strength however In changes we don't need a party to be as much strong as CCM or ANC to take over the government since we are not communist to have a very strong party in power. Nyerere wakati anatawala TANU haikuwa na uimara kama CCM lakini alitawala na wengine walifuata hatuhitaji sio lazima Uhuru Kenyatta kwa sasa anatawala kwa chama alichoanzisha miezi 4 kabla ya uchaguzi na hakuna shida hapo Kenya tusianze kupeana maneno yasiyo ya msingi hata kidogo, CHADEMA ilivyo inatosha sana kwanza wengi wako CCM kwa woga siku CCM iko out power hutaisikia tena and it will never govern again kama UNIP kule Zambia, UPC kule Uganda, KANU pale Kenya na MCP pale Malawi usitishwe na bendera na nyimbo na kugawiwa fulana people are tired of CCM and they know CHADEMA is the answer