Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Ukaskazini ndio cancer kubwa ndani ya chadema
Akuu!!Uchaga na uslaa vimeiua chagadema mapema
Jamani tuache ushabiki WA vyama,tembeleeni hospital za serekali,shule za msingi na sekondari za kata hali Ni mbaya Sana,waalimu hata huo mshahara mdogo wanaupata kwa shida,wauguzi na madaktari hali Ni mbaya,juu ya yote chama changu CCM kimeamua kukumbatia rushwa adui WA haki,wameiigiza rushwa mpaka serekalini,Hanna jinsi ccm inapashwa kuwekwa kando ili nchi irudi mstarini,hali inatisha Sana inapokuwa silaha kuu Ni kutoa rushwa adui WA haki...Hii ni simple research niliyo ifanya lakini ina mashiko sana kubali au kataa lakini ndio ukweli,
Ni hivi chadema ni chama cha siasa kilicho ibuka na kujipatia wanachama wengi kwa muda mfupi sana kiasi kwamba chama kinashindwa kuwa control wanachama wake kutokana na kukosa misingi imara ya kiuongozi kuanzia ngazi za matawi,kata,majimbo mpaka taifani.hapa nina maana kwamba chama hakiku jiandaa kiuongozi kukabiliana na wingi wa wanachama walio jipatia that is why kila mtu ndani ya chama ana sauti au kwa lugha nyingine kila mtu ndani ya chama ni mbabe.
Kwa maana hii ndio maana inakua kazi rahisi sana kwa ccm kupenya ndani ya cdm na kuwarubuni baadhi ya viongozi wa chama ktk ngazi zote na hatimae hata zinapo fanyika chaguzi utakuta ccm wanashinda kiurahisi sana kwenye maeneo mengi ya mijini na vijijini.
My take:chama kichukue muda wa kuji imarisha kiuongozi kwenye ngazi zote na kujengaNIDHAMU YA KIUONGOZIkwa wanachama wote kwa ujumla,ili kuepusha hii kitu ya kila mmoja kutaka kuwa na sauti chamani.la sivyo tutaendelea kuvuana uanachama kila uchwao na tutabakia kuwa wapinzani milele.
Mungu ibariki chadema.
Hii ni simple research niliyo ifanya lakini ina mashiko sana kubali au kataa lakini ndio ukweli,
Ni hivi chadema ni chama cha siasa kilicho ibuka na kujipatia wanachama wengi kwa muda mfupi sana kiasi kwamba chama kinashindwa kuwa control wanachama wake kutokana na kukosa misingi imara ya kiuongozi kuanzia ngazi za matawi,kata,majimbo mpaka taifani.hapa nina maana kwamba chama hakiku jiandaa kiuongozi kukabiliana na wingi wa wanachama walio jipatia that is why kila mtu ndani ya chama ana sauti au kwa lugha nyingine kila mtu ndani ya chama ni mbabe.
Kwa maana hii ndio maana inakua kazi rahisi sana kwa ccm kupenya ndani ya cdm na kuwarubuni baadhi ya viongozi wa chama ktk ngazi zote na hatimae hata zinapo fanyika chaguzi utakuta ccm wanashinda kiurahisi sana kwenye maeneo mengi ya mijini na vijijini.
My take:chama kichukue muda wa kuji imarisha kiuongozi kwenye ngazi zote na kujengaNIDHAMU YA KIUONGOZIkwa wanachama wote kwa ujumla,ili kuepusha hii kitu ya kila mmoja kutaka kuwa na sauti chamani.la sivyo tutaendelea kuvuana uanachama kila uchwao na tutabakia kuwa wapinzani milele.
Mungu ibariki chadema.
Jamani tuache ushabiki WA vyama,tembeleeni hospital za serekali,shule za msingi na sekondari za kata hali Ni mbaya Sana,waalimu hata huo mshahara mdogo wanaupata kwa shida,wauguzi na madaktari hali Ni mbaya,juu ya yote chama changu CCM kimeamua kukumbatia rushwa adui WA haki,wameiigiza rushwa mpaka serekalini,Hanna jinsi ccm inapashwa kuwekwa kando ili nchi irudi mstarini,hali inatisha Sana inapokuwa silaha kuu Ni kutoa rushwa adui WA haki...
Hii ni simple research niliyo ifanya lakini ina mashiko sana kubali au kataa lakini ndio ukweli,
Ni hivi chadema ni chama cha siasa kilicho ibuka na kujipatia wanachama wengi kwa muda mfupi sana kiasi kwamba chama kinashindwa kuwa control wanachama wake kutokana na kukosa misingi imara ya kiuongozi kuanzia ngazi za matawi,kata,majimbo mpaka taifani.hapa nina maana kwamba chama hakiku jiandaa kiuongozi kukabiliana na wingi wa wanachama walio jipatia that is why kila mtu ndani ya chama ana sauti au kwa lugha nyingine kila mtu ndani ya chama ni mbabe.
Kwa maana hii ndio maana inakua kazi rahisi sana kwa ccm kupenya ndani ya cdm na kuwarubuni baadhi ya viongozi wa chama ktk ngazi zote na hatimae hata zinapo fanyika chaguzi utakuta ccm wanashinda kiurahisi sana kwenye maeneo mengi ya mijini na vijijini.
My take:chama kichukue muda wa kuji imarisha kiuongozi kwenye ngazi zote na kujengaNIDHAMU YA KIUONGOZIkwa wanachama wote kwa ujumla,ili kuepusha hii kitu ya kila mmoja kutaka kuwa na sauti chamani.la sivyo tutaendelea kuvuana uanachama kila uchwao na tutabakia kuwa wapinzani milele.
Mungu ibariki chadema.
Kila kitu hatua kwa hatua.Kila kitu kipo strategically
upeowako wa kawaida wa kuchambua mambo,
chama kitakufa pale tu kitakapoacha kusimamia mambo ya msingi kinachoyaamini na ambayo ni madhumuni ya kuanzishwa kwacho si vinginev
mbona tumezoea hizi ramli mnazopiga kila siku,
cha kushangaza upande wa pili ndo wanazidi kuparaganyika juzi wammemtegeshea mwenzao meno ya tembo kwenye gari ili wamchafue, ashindwe mbio za uraisi,
kwa mtazamo wa akili ya mtu wa kawaida anaweza dhani ni jambo dogo lisilo na madhara lakini kuelekea 2015 kuna mpasuko mkubwa upande wa pili mini usiamini
Leo ndugu yangu Chinga one umekuwa mwelevu kujua nini hasa tatizo la CDM. Kwa hakika chadema ni chama kilichojaa ghiriba na ufeudhina mkubwa!
Chama kimekengwa kwa misingi ya ubaguzi na usultani. Hii ni hatari sana ndugu yangu ndio maana huungwa mkono sehemu Moja tu. Utakuwa kichaa kufikiria kuwa ukipendwa na Jimbo Moja basi utashinda nchi nzima! Na baado Subiri 2015 chadema haitaamini kitakachokipata!
Tuombe Mungu tutayaona mengi!
umenena vema ndg yangu, ni lazima CDM watengeneze kanunu za kuwafanya wanachama na viongozi waheshimu na kuamini katika itikadi ya chama.
Pia, wajengewe msingi wa uvumilivu badala ya kuamini katika urahisi wa mambo ma kuwa na tamaa ya uongozi, wajue fika kukiondoa chama dola kama CCM kilicho kaa madarakani karibia nusu karne c kazi nyepesi inahitaji uvumilivu, maono na jitihada zilizo jengwa katika msingi wa uvumilivu na kuaminiana.
Ni lazima Chama kibuni mbinu mbadala ya kurekebishana kuliko philosophy ya kufukuzana, hakuna chama duniani kiliwahi kuwa imara kwa misingi ya kufukuzana.
Kufukuzana ni kupunguza wanachama pengine wengi wasio onekana na kutambulika lakini muhimu Kwa uimara wa chama. Hata katika familia ijawahi toke baba anayependa kufukuza kila mke na watoto akawa na familia bora, ni lazima itayumba na kusambalatika.
Ni vizuri sasa CDM wakajipanga upya kimkakati maana naamini nafac ya kuongoza taifa hili kwao ni kubwa kuliko chama kingine cha upinzani hapa nchini, vinginevyo mtaushia kujilaumi na kushikana uchawi kila kuchapo.
Huja elewa ninacho kiongelea hapa na kama ndio hivyo hutokaa uelewe mambo kama una kua indoctrinated kiasi hicho bila hata kutumia 0.1% ya akili yako kuchambua mambo.Kaka naona umekaririshwa,akili yako haina akili,wakati watanzania wanawaza kukombolewa na chadema alafu wewe unaponda na inaonekana wewe umetumwa na mafisadi,ccm haiwezi kutawala milele kumbuka iko sku ccm kitaitwa ni chama cha upinzani kama kilivy ACT,tumia akili kabla hujapost maada.
Msingi mkuu wa anguko la CHADEMA ni ujinga wa watanzania tuna uwezo finyu wa kuchambua mambo kivipi nchi inflation rate iko juu, unemployment rate iko juu, huduma za afya mbovu, balance of payment mbovu, CCM wanatawala kisultani kwa kurithishana, serikali ya CCM imejaa mabavu wanalazimisha mfano serikali mbili kinyume cha wengi, viongozi wa CCM wezi wanaliibia taifa na kuficha mabilioni Uswiss huku wakiacha wananchi mafukara kivipi hapo CCM wazidi kutawala? Ni ujinga wetu watanzania ambao wengi uwezo wa kujua mambo mdogo. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watu wakichoka na watawala wanaweza chagua kichaa kutawala kwa mfano huo kwanini watanzania waliochoka wameshindwa kuweka chadema madarakani hata kama tunawaona wanamapungufu? Mengine tutasort huko mbele na mapungufu yao ni machache kulinganisha na mafisadi CCM
:loco::loco:Kwani CHADEMA imeanguka? Anyway, kumbe umesema umefanya 'simple' research!!