fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,619
- 9,163
Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Kwakweli hali ni mbaya kwenye hiki chama. Ngoja arudi toka huko ulaya mashariki, atayakuta tu ambayo hakuyategemea.Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Haya anayajuaKwakweli hali ni mbaya kwenye hiki chama. Ngoja arudi toka huko ulaya mashariki, atayakuta tu ambayo hakuyategemea.
Na iwe hivyoCCM ipo ipo sana mkuu
AmiinaNa iwe hivyo
Yaani naomba iwe niwe ndotoni maana ikitokea kweli,nchi itavurugika vibayaMkuu nahisi upo ndotoni,amka.
Akili yake ameielekeza atoe rasilimali zipi kwa Putin ili ionekane wako pamoja. Tunapoteza ushirika wa Magaribi wenye faida kubwa kwenye maendeleo na ukuwaji wa uchumi wetu na kukumbatia umasikini. Tangia 1979 baada ya vita vya Kagera hao warusi walishafanya kitu gani hapa nchini chenye tija?Haya anayajua
Jeshi la polisi usalama na tume ya uchaguzi na mahakama zote zetu harafu sisiemu ife we unaotaMkuu nahisi upo ndotoni,amka.
HAKUNA,Tangia 1979 baada ya vita vya Kagera hao warusi walishafanya kitu gani hapa nchini chenye tija?
Kwamba tutakuwa kama Congo, watu watagawana nchi vipande vipande.Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Chama kitakachochukua hatamu baada ya ccm kitatokana na wanaccm.CCM ipo ipo sana mkuu
Tusijidanganye kuwa ccm haipo,ipo japo ipo kwenye mzozo wa ndani kwa ndani,na wana mbinu nyingi sana za kuhimili vishindo,japo kwa hili la sasa inaanguka kwa kasiCCM ife mara ngapi, kwani wewe unafikiri hiyo unayoiona sasa ni CCM au jeshi la policcm ?
Haikuanguka wakati wa Lowasa ndio ije ianguke leo ?Tusijidanganye kuwa ccm haipo,ipo japo ipo kwenye mzozo wa ndani kwa ndani,na wana mbinu nyingi sana za kuhimili vishindo,japo kwa hili la sasa inaanguka kwa kasi
Sio kama congo lakini watagombania nyamaKwamba tutakuwa kama Congo, watu watagawana nchi vipande vipande.