Anguko la CCM halizuiliki na linakaribia

Anguko la CCM halizuiliki na linakaribia

Kifo cha CCM ni katiba mpya..na wanalijua hilo ndo maana wanang'ang'ana. Lakin haisaidii.. baada ya alichotufanya mwendazake,hadi wale wahafidhina wamekuja kuona katiba mpya haihepukiki ili kuja kudhibiti mwingine kichaa kuliko huyu mwendazake
 
Asili ya ccm ni muunganiko wa vyama vya kichawi kabla ya uhuru vilivyopelekea kuzaliwa kwa chama cha TAA muunganiko huo ukaeenda wee ukipitia mabadiliko mbalimbali hadi ikazaliwa ccm.
Ili ccm ife ni lzm katiba mpya,ambayo ni ndoto mccm yeyeto kuruhusu hii kitu.
 
Unapotosha kwa kujua au kutojua? Mwenekiti wa CCM alifariki na hajachaguliwa wala kuteuliwa mwingine. Upinzani wameomba kukutana na Rais si Mwenyekiti wa CCM, Lakini hata kama Rais ndiye angekuwa ndiye Mwenyekiti wa CCM wao wanapoomba kukutana na Rais hawaombi kukutana na Mwenyekiti automatically!, na ndiyo maana watakutana Ikulu na siyo Lumumba au CCM Dodoma!

Tujifunze kutofautisha haya mambo mawili, na hili limekuwa tatizo la muda mrefu, rais anafanya ziara ya Kiserikali kwa gharama za serikali lakini wakati huo huo anafanya na shughuli za chama kwa gharama hiyo hiyo.
Mwenyekiti mteule polepole alishamtangaza anasubiri kupitishwa.
Nje ya chama ni raisi lakini haibadilishi kuwa ni mwenyekiti mteule. Haiwezi ipeleka chadema ikulu.
 
Back
Top Bottom