Anglikana sasa ndoa za jinsia moja ruksa

Uislam ndio Dini ya haki. Ndio mila ya Nabii Ibrahim, Musa na Nabii Issa bin Maryam.

Uislam una mipaka na sharia.

Uislam una taratibu zake.

Uislam ni mfumo wa Maisha.

Uislam hauendeshwi na mawazo ya mtu bali sharia ndio zinaiendesha Uislam. Ukitoka nje ya hapo ukavuka mipaka ya Uislam basi wewe si mwislam. Bali ni kafiri

Unaposema hakuna Mungu una uhakika GANI. Hivi ulishawahi kulitazama umbile la Dunia, umbile la mwanadamu (tofauti ya mwanadamu na wanyama), umbo la mbingu na ardhi, umbila la bahari?? Hivi haya yote hakuna muumbaji aliye yaumba??

Everything that exit must be have creator...
Na hii vipi?
JamiiForums-1034687513.jpg
 
Kuna wadau wa anglikana kindakindaki wanapita huu uzi kwa speed kama hawajauona?
Nikiwataja watanisuta ngoja nikae kimya
 
Uislam ndio Dini ya haki. Ndio mila ya Nabii Ibrahim, Musa na Nabii Issa bin Maryam.

Uislam una mipaka na sharia.

Uislam una taratibu zake.

Uislam ni mfumo wa Maisha.

Uislam hauendeshwi na mawazo ya mtu bali sharia ndio zinaiendesha Uislam. Ukitoka nje ya hapo ukavuka mipaka ya Uislam basi wewe si mwislam. Bali ni kafiri

Unaposema hakuna Mungu una uhakika GANI. Hivi ulishawahi kulitazama umbile la Dunia, umbile la mwanadamu (tofauti ya mwanadamu na wanyama), umbo la mbingu na ardhi, umbila la bahari?? Hivi haya yote hakuna muumbaji aliye yaumba??

Everything that exit must be have creator...
Kwa maelezo yako hayo na principle uliyoiweka,

Unadhani kwamba huyo creator anayeexist haitaji kuwa na creator wake mwingine.

Hali ambayo itakuwa inaendelea hivyo hivyo to infinitum ad nauseam!?
 
Uislam ndio Dini ya haki. Ndio mila ya Nabii Ibrahim, Musa na Nabii Issa bin Maryam.

Uislam una mipaka na sharia.

Uislam una taratibu zake.

Uislam ni mfumo wa Maisha.

Uislam hauendeshwi na mawazo ya mtu bali sharia ndio zinaiendesha Uislam. Ukitoka nje ya hapo ukavuka mipaka ya Uislam basi wewe si mwislam. Bali ni kafiri

Unaposema hakuna Mungu una uhakika GANI. Hivi ulishawahi kulitazama umbile la Dunia, umbile la mwanadamu (tofauti ya mwanadamu na wanyama), umbo la mbingu na ardhi, umbila la bahari?? Hivi haya yote hakuna muumbaji aliye yaumba??

Everything that exit must be have creator...
Dini zote zimetengenezwa na watu tu, kwa malengo yao.

Uislamu ni mojawapo ya dini ambazo zimeundwa kwa misingi ya uongo wa kiwango cha lami.

Inakuhitaji tu kujitoa ufaham ili kukubali kuwa mfuasi wa dini (ikiwemo uislam)

Kwasababu hakuna Mungu.

Nina uhakika kwamba Mungu huyo hayupo kwani hata dhana ya uwepo wake inajipinga kimantiki.

Habari ya Mungu anayeongelewa katika uislamu ambaye anasifa ya uwezo wote ujuzi wote na upendo wote ni story ya uongo ambayo haina mantiki.
 
Dini ni mpango wa ibilisi kuwafanya wanadamu wapumbazike huku Mungu wamemwacha mbali mno. Mungu kwa upendo wake ametuletea wokovu kupitia kwa Yesu Kristo, lakini dini imeingizwa hapo katikati ikawafanya watu wasiuone wokovu tulioletewa. Leo watu wanang'ang'ana kushika dini na madhehebu yao badala ya kumshika Yesu na wokovu aliotuletea, huo ni upofu wa kiwango cha grade A plus. Shituka wewe, unadanganywa, unapotezwa. Achana na dini, njoo kwa Yesu akuokoe
 
Kwanini wakristo wasiwe kama sisi waislam kama hakuna kwenye Quran na Sunna huna la kuongeza wala kubadilisha.
Sio vizuri viongozi kuweka vitu ambavyo vime katazwa huko mwanzoni.

Biblia inasisitiza kila mara kwamba ushoga ni dhambi (mwanzo 19:1-13; mambo ya walawi 18: 22; warumi 1:26-27; wakorintho wa kwanza 6:9). Warumi 1:26-27 inatufundisha ya kwamba ushoga ni njia mojawapo ya kumkana na kutomtii Mungu. Mtu anapodumu katika dhambi na kutokuamini biblia inatuambia ya kwamba “Mungu huwaachilia” kutenda maovu zaidi ili wapate kujua ubatili wa maisha bila Uwepo wa Mungu. Wakorintho wa kwanza 6:9 inasema kuwa mashoga hawataurithi ufalme wa Mungu.
Ushoga wa Zanzibar na Mombasa unapitia wapi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Sasa sijui itakuaje?Baada ya kanisa takatifu la mitume sasa ni Anglikana
Kanisa la Anglikana Uingereza launga mkono huduma kwa wanandoa wa jinsia moja


CHANZO CHA PICHA,REUTERS

Maelezo ya picha,

Kura ilipitishwa na marekebisho kwa baadhi ya huduma maalum kufanyika mapema kuliko ilivyotarajiwa

Saa 9 zilizopita

Wanandoa wa jinsia moja wataweza kuwa na huduma maalum za kupata baraka katika parokia za Kanisa la Anglikana Uingereza kwa mara ya kwanza.

Huduma hizo , ingawa sio za harusi rasmi, zitaweza kujumuisha kuvaa pete, sala, confetti na kupokea baraka kutoka kwa kuhani.

Marekebisho ya kuunga mkono huduma ili iwekwe kwa majaribio yalipitishwa na bunge la Kanisa hilo kwa kura moja.

Fundisho rasmi la Kanisa la Anglikana Uingereza ni kwamba ndoa ni kati ya mwanamume mmoja na mwanamke mmoja tu.

Mapema mwaka huu, maaskofu walikataa kuunga mkono mabadiliko ya mafundisho ambayo yangeruhusu makasisi kuoa wapenzi wa jinsia moja, lakini walisema wataruhusu maombi ya baraka kwa watu walio katika uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja kama sehemu ya huduma pana.

Ilikuwa imefikiriwa kuwa uidhinishaji wa huduma za kujitegemea huenda usije kwa zaidi ya mwaka mmoja kutoka sasa.

Lakini kura ya Jumatano, ambayo ilipita kwa uchache katika Sinodi Kuu, chombo cha kutunga sheria cha Kanisa, inamaanisha huduma tofauti za baraka sasa zinaweza kuruhusiwa, badala ya maombi tu ndani ya ibada ya kawaida ya kanisa.

Ingawa hakuna muda uliowekwa wa huduma za majaribio ya muda kuanza, inaeleweka kuwa hizi zinaweza kuidhinishwa katika wiki zijazo na huduma za kwanza katika mwaka mpya.

Pendekezo la huduma za pekee kwa msingi wa majaribio lilijiri katika marekebisho ya hoja. Mchakato rasmi wa uidhinishaji, ambao utachukua takriban miaka miwili, utafanyika wakati kesi inaendelea.

Askofu wa Oxford, Mstaafu Rev Stephen Croft, ambaye amefanya kampeni ya mabadiliko katika msimamo wa Kanisa, alisema "amefurahishwa".

Akibainisha ibada hizo hazitakuwa harusi rasmi, aliongeza: "Natumai kutakuwa na furaha na uthibitisho sawa na wale wanaokuja kupokea maombi haya watahisi kukaribishwa kikamilifu katika maisha ya kanisa."

Msimamo rasmi wa Kanisa la Anglikana Uingereza kuhusu ndoa unakinzana na toleo lake la Kianglikana nchini Scotland - The Scottish Episcopal Church - na Presbyterian Church of Scotland, ambayo yote yanaruhusu ndoa za watu wa jinsia moja.

Kanisa la Kianglikana nchini Wales limetoa huduma iliyoidhinishwa ya baraka kwa wapenzi wa jinsia moja lakini haliruhusu ndoa za jinsia moja kanisani.

Jayne Ozanne, mwanaharakati mashuhuri wa LGBT ambaye anaketi kwenye Sinodi Kuu ya Kanisa la Uingereza, alitoa wito kwa Kanisa kubadili msimamo wake ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuoana.

"Kanisa la Anglikana linasalia kuwa na chuki kubwa dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, hata iwapo maaskofu watasema chochote," alisema.

"Ninahofia kwamba sehemu kubwa ya taifa itahukumu Kanisa la Anglikana kuwa lenye matusi, lenye unafiki na lisilo na upendo - kwa kusikitisha, wako sahihi."

Wakati huo huo, makasisi wa kihafidhina waliielezea kama wakati wa kihistoria.

Mchungaji Canon John Dunnett, mkurugenzi wa kitaifa wa Baraza la Kiinjili la Kanisa la Uingereza, alisema alihisi "kuhuzunishwa" na uamuzi huo.

"Itasambaratisha parokia, kuharibu uhusiano kati ya idadi kubwa ya makasisi na maaskofu wao na kusababisha makanisa katika dayosisi kuhisi kana kwamba wachungaji wao wamewaacha," alisema.

Chanzo: BBC
Kasisi anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja: 'Nililia nilipolipata kanisa hili'
https://bbc.in/3v3vygK
 
Tofautisha uarabu na uislam.
Waarabu michezo hiyo wanayo Sana tu.
Ila UISLAM UNAPINGA.
NA MPAKA VIONGOZI WANAPINGA.
ILA UPANDE WA PILI MNAITISHA MPAKA VIONGOZI KUJADILI ILI SUALA LIKUBALIKE.
ILA UMEWAHI KUSIKIA VIONGOZI WA KIANSWAR AU KISALAFI WAMEKUTANA MAKKAH KUJADILI HUO UPUUZI??!

Mkuu mbona kila upande wapo ni vile upande wa wavaakobazi unafiki mwingi. View attachment 2816168
 
View attachment 2817797
Huyu ni papa akipigana busu na grand mufti wa Egypt, haya mambo hata kwenu yapo, mnayaficha tuu.
Huyo Grand mufty uislam haumtambui.
VIONGOZI wa dini Kama kina Abdurahman Alsuddays UMEWAHI kumsikia akifanya huu UPUUZI?????
Uislam ukishakiuka misingi yake unakukataa na kukutoa nje.
Ila nyie VIONGOZI wenu wakubwa wanakaa na kupitisha huu muswada.
Nenda Iran leta hiyo mada au Afghanistan kwa Taliban uone utachofanywa.
 
Haki gani?? Maovu aliyokuwa anayafanya mtume mnayazingatia?? au kwasababu ni mtume wa mungu hata akitenda mabaya hahesabiwi dhambi, ni haki mtume wa mungu mwenye miaka 50 anaoa kitoto cha miaka sita na kukipiga mashine kalipotimiza miaka tisa??
Ni wapi umeona mtume kaoa mtoto wa miaka sita???
Mbona unapotosha historia ya mtume???
Mtume alimuoa Bi.Aisha akiwa na miaka tisa na hakuanza kumuingilia km udaiavyo.
Na kwa minajil ya miaka ya zamani balehe zilikua zikiwahi hivyo bi.aisha alishaanza kuvunja ungo
 
Huyo Grand mufty uislam haumtambui.
VIONGOZI wa dini Kama kina Abdurahman Alsuddays UMEWAHI kumsikia akifanya huu UPUUZI?????
Uislam ukishakiuka misingi yake unakukataa na kukutoa nje.
Ila nyie VIONGOZI wenu wakubwa wanakaa na kupitisha huu muswada.
Nenda Iran leta hiyo mada au Afghanistan kwa Taliban uone utachofanywa.
Unasemaje uislam haumtambui wakati bado ni Grand Imam(sorry not grand mufti) hadi sasa?? Labda wewe ndo humtambui, wenzako wanamtambua na bado anadunda.

Soma na hii👇
There are 8 publicly gay imams in the world says Daayiee Abdullah
 
Back
Top Bottom