Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,797
- 22,337
Hiz mbona nibbiashara tu kama biashara zingine dada angu!?Kaka biashara jamani?
Yan hata wewe unaweza fanya na ukapata faida bila shaka
Hiz mbona nibbiashara tu kama biashara zingine dada angu!?Kaka biashara jamani?
Mumewe ana kanisa jengine linaitwa "Restoration of hearts international church" liko segereaNadhani Christina umaarufu na kufuatwa na wanaume wenye fedha kulimpa kiburi na kumwona mumewe si kitu.
Sasa huyo mumewe kasharudi kanisani kwake au?
Ni kweli Christina alikuwaga mkimbizi kutoka Burundi
Halo Sasa alianzisha lingine la Nini SasaMumewe ana kanisa jengine linaitwa "Restoration of hearts international church" liko segerea
hao sio walokole,ama ni wakristo na wanasali kanisa la walokole,pia wanajiita na kujulikana kama walokole,,,ila sio walokole...wengi tuu tena waimba kwaya
Aliyekwambia waimbaji kwaya ni walokole nani?wengi tuu tena waimba kwaya
Haya.Na wewe uache uchafu uige usafi sasa. Siyo una chupi 4 tu, ongeza ziwe 30






Yes anointed singers, walikuwa wanaimba sana lakini pia lilikuwa ni kundi la marafiki. Na walikuwa na tabia njema sana wachaga wale.Nimesoma naye A level alikuwa active Sana kwenye Mambo ya dini. Na alikuwa ameokoka. Nakumbuka walijiunda ka group ka wasichana (kipindi hicho bado wasichana) Kama wanne hivi walikuwa wanaimba haoo
Walijiita anointed singers!
Tuko pamojaaaMimi hata sisemi jamani. Happy to see you here my wizo
Hayo makanisa yao hamna kitu ,unafungua tu,Nimefurahi kukuona Wizo😍
Sasa ndoa alifungaje tena Kanisani hali ya kuwa ya mwanzo ilikuwa ya Kanisani pia?
Yupo mwingine anajiita Madam Martha sasahivi, naye aliachana na mumewe,
Yaani shetani amejua kucheza na ndoa za waumini jamani🥺
Kachanganya, ni MwingiraGwajiboy tena?
Kweli napitwa na mengi
Hata hata sijui.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yeah sureHayo makanisa yao hamna kitu ,unafungua tu,
Tofauti na rc, kkkt,morovian,Anglican....
Eeeeh??😳Kachanganya, ni Mwingira
Eeeh🤣Nadhani Christina umaarufu na kufuatwa na wanaume wenye fedha kulimpa kiburi na kumwona mumewe si kitu.
Sasa huyo mumewe kasharudi kanisani kwake au?
Ni kweli Christina alikuwaga mkimbizi kutoka Burundi
Sawa NickNaona tu unavyomchawia Nick hapo kwamba hawaendani mara hawafanani...we unadhan uchawi mpaka ushike tunguri?
Na kibamia chakoWewe unaona anaendana na nani?
Demba mcute na younglishDuuh kumbe nimezeekarose tumesoma shule moja A level



We mnduku ndo maana umelamba banJifunze naww kupiga pamba siyo unavaa malonya ya elfu 30 30


Mungu anawaumbuaNa sijui kwanini watoto wa nje hufanana na baba zao. Hatari sana!