Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,021
- 1,738
wengi tuu tena waimba kwayaUmeonja wangapi?
wengi tuu tena waimba kwayaUmeonja wangapi?
Huyu binti wa Yesu ndo Angel Benard?? Au kuna mwingine tumsubiriebinti wa Yesu
NIpo kwenye wokovu toka 2015.hujui ulokole ni nini,na nguvu iliyomo ndani ya wokovu huijui...
👊👊👊📌Hako kanick hata mkononi hakajai...kadunyuuu
Akikaa na Rose utasema mtu na mamaake mdogo!
Rose mzuri sana hafananii kuwa na hicho kivulana sema ndo mapenzi
H
Alafu warembo walivyo wajanja humpanga Nick na kumpa utelezi kimya kimya bila mama mchungaji kujua.
Mwanaume ni mwanaume tu akidai utelezi wa mrembo nje na mkewe hupewa tu.


ni kweli the more una mchunga ndio anafanya mambo yake kiulainiBongo hii watu Wana forge umri Hadi kwenye passport to me they look older kuliko 35 aiseeNimekutana na hii mtandaoni; niki-calculate wanaelekea miaka 36
Nimekaa nikawaza; huyo Rose ambaye ana issues za unga ni huyu tunayemuongelea au? Ndiyo nikamkumbuka Rose Muhando,,,![]()


mwenyewe sikuelewaShusho ndio hajatulia hata kidogo Tena alihamia Hadi Kwa buldoza Sasa sijafatilia wameishia wapi Sasa hivi
Buldoza anakula patamu



loh Hadi Kwa yule mwijilisti Natasha wa kenya Tena wakatakaga kuoana, ila watumishi watakuwa wa mwisho kuingia peponiHuyo Rose atakuwa na 40 + aisee.Bongo hii watu Wana forge umri Hadi kwenye passport to me they look older kuliko 35 aisee
40 waleBongo hii watu Wana forge umri Hadi kwenye passport to me they look older kuliko 35 aisee
SureHuyo Rose atakuwa na 40 + aisee.
Na zaidi wako umri wa makamo40 wale
Ni kweli kabisaHuyo Rose atakuwa na 40 + aisee.
🤣🤣🤣 ukiona mdada anapenda kiswanglish kaa nae mbali.Itakuwa ya kwanza haiku "work out"
No chemistry. Ilikuwa lazima waachane.Ndoa yake ya awaliView attachment 2608993
Shaboka si mume wa yule mdada mrembo Rose? Hawa wapuuzi hawana tofauti na bongo fleva au bongo movieIla huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.