Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Hahah mzee baba aliona huyu kijana ananiletea mzaha.
Hiyo dunia nyingine kabisa hiyo. Hizi hela za kusaka sana,saaaaana. Bata kama hizo ndio zenyewe,hasa ukiwa na mtoto mkali kama huyo mkuu. Ili mradi tu uwe na uhakika hata ule bata vipi kibubu chako kitaendelea kutema milele
Kabisa mkuu.Hiyo dunia nyingine kabisa hiyo. Hizi hela za kusaka sana,saaaaana. Bata kama hizo ndio zenyewe,hasa ukiwa na mtoto mkali kama huyo mkuu. Ili mradi tu uwe na uhakika hata ule bata vipi kibubu chako kitaendelea kutema milele
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wazee huko O'bay/Masaki wana mipunga yao kila operation ma dr. wanatoka ma mbele wanakuja kufanyia huku Bongo.Hahaha ana mbinu sana yule mzee then akimalza kufanya yake anaenda church
Mkuu still huduma za bongo sio.huko ma mbele tunaskia wanabadili mpaka moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
So watusi wapo Kigali hutu wapo bushiHata mimi nilikua na mtazamo huo. Ila nilipofika Rwanda nikawaona wakawaida sana. Hao watoto wakali wapo Kigali tu na naendeo machache. Lkn ukiingia uswahili hamna kitu. Tofauti na kwetu kuanzia ushuani hadi uswahilini unawakuta watoto wakali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh. Kwanini waharibu kizazi chao kwa kutembea na viemolo. Wanasema Real Recognises RealWao na wenyewe wakituona sisi wa kawaida wanaona tutaleta viandunje,hahah.
Mkoloni sana yaniHa ha ha ha yule mzee bana. Ukoloni haupendi ila kwa wanae ni mkoloni
Sent using Jamii Forums mobile app
Watuvumile tu mkuu,aliyewapa wao ndiye ametunyima sisi.Eeeh. Kwanini waharibu kizazi chao kwa kutembea na viemolo. Wanasema Real Recognises Real
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mkuuKuna wazee huko O'bay/Masaki wana mipunga yao kila operation ma dr. wanatoka ma mbele wanakuja kufanyia huku Bongo.
Hata yule bilionea Mrema wa Arusha naye aliambiwa na ma dr. Kutoka Germany wanaweza kuja na vifaa vyao then wakaja kumfanyia operation kwny hosp. watakayoichagua wao pale Arusha.
Hahah noma sana mkuu,na ndio ukweli huo.Aisee mkuu
Nimeamini maneno ya teacher wangu fulani alisema hapa duniani kuna watu wana live wengine wana survive
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijui kwanini nakua inspired sana na wazee ambao hawana nongwa kwa watoto wao
Dada huo mzigo si wa kitoto dada'angu!
That made me re-evaluate my entire existence,how stupid my life is!
That pussy is gold eti!
And that nigga is banging errrday for free!
This life ain't fair!








. Ange angekuwepo JF angekutafuta japo uweke mkono tu kwenye 
. I'm sure hata mume wake hajawahi mpa sifa kama hizi unazompa wewe.
kweliSijajua kwanini WaTz tunawapa thamani kubwa sana hawa watoto wa Kagame.
Wako kawaida kama wakwetu labda tu maumbo yao na urefu amazing
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa aliwahi kunisimulia kua .rafiki ake mmoja alienda UAE huko.sasa kwenye nyumba aliyofikia ya mwenyeji wakeHahah noma sana mkuu,na ndio ukweli huo.

Mimi ninatamani kufahamu alipo Brian mdogo wake maana alikuwa darasa moja na binti yangu kwenye midugudu ya Murutarama.Huyu aliyemuoa bint wa kagame...sijui akijipekecha vp mpaka kumpata mtoto wa kagame ambaye baba yake ni mtata!
Najua watu wengi hadi humu jf miudenda ilikuwa inatutoka tukimtamani bint huyo
Sasa mchz kajiopolea!
Ova
View attachment 981765
Sent using Jamii Forums mobile app