mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,837
- 132,085
- Thread starter
- #81
MkuuHii itakua chai,hakuna kitu kama hicho wale sio watoto wa mkwere wa kuchezea hela kizembe zembe.
Kila mtoto wa kigogo anataka kubangHii itakua chai,hakuna kitu kama hicho wale sio watoto wa mkwere wa kuchezea hela kizembe zembe.
yeah afu kafanana sura na jiwe so ile ilikua aibu sana katika familia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemsoma mshkaji,yuko vizuri..
Watoto wa vigogo kujirusha kawaida tuMkuu
Chai !!! Video mimi niliiona ni mtoto wa jiwe wamefanana kabisa na jina ni lake.hiyo video ilisambaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mpk niione hio video lkn kwa malezi ya kikamanda ya yule dingi,majirani wa kule ADA estate wanaelewa vzr sijui hizo guts alizipata wapi.Mkuu
Chai !!! Video mimi niliiona ni mtoto wa jiwe wamefanana kabisa na jina ni lake.hiyo video ilisambaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi tukafanye mapinduzi kwa mtoto wa pk nmuwke mwanangu wyatt paleNimemsoma mshkaji,yuko vizuri..
Mnawapa thamani wasiyokuwa nayo. Huyo binti wa kagame sijaona lolote la ajabu alilonalo, labda kuzaliwa Ikulu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda alikua amepewa na jiwe sasa akafurahi akaona azioneshe tu.Aisee mpk niione hio video lkn kwa malezi ya kikamanda ya yule dingi,majirani wa kule ADA estate wanaelewa vzr sijui hizo guts alizipata wapi.
Mtoto wa nani huyo?Kwa jiwe watasubiri sana hizo toys wakitahidi watapush Toyota hilux.Kila mtoto wa kigogo anataka kubang
A push toys za maana,kuspend....
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiw si mchzLabda alikua amepewa na jiwe sasa akafurahi akaona azioneshe tu.
Ila taarifa zilizosambaa ni hizo kuwa jamaa alipigwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa nani huyo?Kwa jiwe watasubiri sana hizo toys wakitahidi watapush Toyota hilux.
Mzee baba anakwambia hapa ikulu tangu nimeingia kuna harusi 3 zimefungwa za watoto wangu nani anajua hapa?
Ahaaaa sema mnyamwezi anayumba kimtindo,mbona mamtoni pande za Houston,Texas kuna watoto wakali ile mbaya..Inabidi tukafanye mapinduzi kwa mtoto wa pk nmuwke mwanangu wyatt pale![]()
![]()
![]()
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah bro mimi mzee baba mimi simkubali kiviile lkn kwny hili ntamtetea hajawahi kuwapa bata watoto wake za style hio.Labda alikua amepewa na jiwe sasa akafurahi akaona azioneshe tu.
Ila taarifa zilizosambaa ni hizo kuwa jamaa alipigwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa na hilo haliepukiki.Kila mtoto wa kigogo anataka kubang
A push toys za maana,kuspend....
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah bro mimi mzee baba mimi simkubali kiviile lkn kwny hili ntamtetea hajawahi kuwapa bata watoto wake za style hio.
Hivi bustani ya marehemu dada yake kule kwao uliiona mkuu?
Milage zmeendaAhaaaa sema mnyamwezi anayumba kimtindo,mbona mamtoni pande za Houston,Texas kuna watoto wakali ile mbaya..
Hela zake tushazila sana enzi hzo mzee waziri wa mmbo ya ugaibunKweli kabisa na hilo haliepukiki.
Nilisikia jk alimnulia mtoto wake lamboghini sijui ferrali
Sent using Jamii Forums mobile app