Ange Kagame aolewa

Ange Kagame aolewa

. Ange angekuwepo JF angekutafuta japo uweke mkono tu kwenye . I'm sure hata mume wake hajawahi mpa sifa kama hizi unazompa wewe.
Ila mzuri na baba ake Ana power na ndo vile kaolewa na mtoto wa Kigogo huko kwao.
Zichange change na wewe uponee japo kwa Jessica

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna binti wa Magu ameolewa na msela fulani hivi ni engineer pale Kinondoni,very humble huwezi kujua hata kama wana mahusiano na Magu.
 
Tembelea Kigali

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala siyo watoto wa Kagame ila ukiingia Kigali utadhani wale watoto walichongwa!!
Kagame nilimuheshimu kwa kujifanya simple. Alikuwa anaendesha gari analeta watoto shule na ikifika saa ya kurudi anakuja kuwachukua ingawa ofcourse alikuwa na walinzi kama wawili but no escort. Sisi ambao tuliishi huko enzi hizo ndo amekuwa mkuu tunajua jinsi simple alikuwa. Nyarutarama oyeeee.
 
Swala siyo watoto wa Kagame ila ukiingia Kigali utadhani wale watoto walichongwa!!
Kagame nilimuheshimu kwa kujifanya simple. Alikuwa anaendesha gari analeta watoto shule na ikifika saa ya kurudi anakuja kuwachukua ingawa ofcourse alikuwa na walinzi kama wawili but no escort. Sisi ambao tuliishi huko enzi hizo ndo amekuwa mkuu tunajua jinsi simple alikuwa. Nyarutarama oyeeee.
Duh

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mobutu mkuu,bata tu mwanzo mwisho hahah.
Kabisa mkuu. Yule mzee ukioa binti yake.ilikua kila ukienda kumtembelea anakupa bahasha ya kaki imejaa dola.na wakati wa harusi alikupa majumba kama 2 ulaya na pesa bank na gari mpya kama range rover. Kuna jamaa alizifaidi sana.alipata zali akapendwa na binti wa mobutu afu jamaa hana kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu. Yule mzee ukioa binti yake.ilikua kila ukienda kumtembelea anakupa bahasha ya kaki imejaa dola.na wakati wa harusi alikupa majumba kama 2 ulaya na pesa bank na gari mpya kama range rover. Kuna jamaa alizifaidi sana.alipata zali akapendwa na binti wa mobutu afu jamaa hana kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah hio ndio inaitwa kuishi paradise ukiwa duniani.

Huku kwetu hata uoe kwa rais, siku ukienda kuwatembelea wakwe lazima uwapelekee na zawadi za Matunda/Mbogamboga/vitenge vya wax wkt we mwenyewe choka mbovu tu.
 
Back
Top Bottom