It is true mkuu. Mbona yeye haelezi alichowafanyia watanyania ktk nafasi aliyonayounampaka matope ili asifanye kazi kwa ufasaha unaonekana wewe ni mongo mtupu,angekuwa rais angevutia kwa watanzania kama anavyojitahidi kuritumikia njimbo lake ipasavyo,makufuli ni mchapa kazi.sio kama we unaka kuchonga tu hapa,
wiki hii ilikuwa tena wiki ya vicheko kwa watanzania, wakiwa na matumaini mapya kwa mpambanaji aliyerejea tena wizara ya ujenzi kujenga mabarabara toka mtwara hadi bukoba ili siku moja mtanzania aweze kusafiri na gari dogo tola mtwara hadi bukoba. bahati nzuri mpambanaji huyu anarudi wizarani hapao wakati bado takribani km 100 tu barabara zinazoitaji lami ahadi hiyo itimie. barabara izo ni ile inayotoka somanga
karibu na daraja la mkapa hadi karibu na nangurukuru huko lindi (km 60), na mkiwa huko singida kama km30 na ushee.
ni vema tunaomfahamu magufuli tukawapa watanzania angalizo mapema, kuwa wasitegemee mengi kwa mtu huyu ambaye ni mojawapo ya haambilikis wa hapa tanzania
magufuli ni mojawapo ya mawaziri wachache ambao mpaka leo hajaweka msimamo wake wazi wazi kama yupo nasi au yupo na mafisadi, wakati akina sita na wengine wakipigana bila kuangalia maslahi yao yeye hatujui yuko wapi, leo na akina lowasa, kesho na kikwete na pengine mwisho kabisa kama mpambanaji dhidi ya wazembe serikalini.
maamuzi mengine ya maguufuli yamelitumbukiza taifa katika hasara kubwa kama lile la uvuvi haramu, taifa limelipa mabilioni kama gharama za kuhifadhi samaki wale na haijulikani nini mastakabali wetu kuhusu kesi ile ya wavuvi haramu.
alipokuwa wizarani hapo ujenzi alikuwa ni mtu asiyeshaurika, yeye na media kila wakati pasipo stahili
baadhi ya maamuzi tata yaliyogharimu taifa ni kuhusu lile la kuuza nyumba za serikali, ambalo hata leo taifa linajutuia. upo ukweli kuwa alihusika kugawa nyumba hizo hata kwa vimada wake jambo amballo linatilia shaka uadilifu wake.
kubwa zaidi ni ile rushwa aliyokuwa akipewa kupitia taasisi nyeti kama SUMA JKT, upo ushahidi wa kimazingira kuwa mara nyingi alipindisha maamuzi ya bodi za zabuni ili kuwapa wabia wake suma jkt kazi. mojawapo ni zile nyumba za seriakali za mbweni ambazo nyie ni mashahidi kuhusu uozo ule mtupu.inasemekana kuwa yeye huwa salamakulla mlungula kupitia taasisi nyeti kama hizi na hilo amekuwa akitamba wazi wazi, labda ndo maana mafisadi wenzake akina masha nao wakajifanya kuwa usalama wa taifa katika ule wizi wa epa na green ...
magufuli ni mbinafsi wa kutupa, na hili linadhihirisha jinsi alivyokuwa tayari kushinikiza makao makuu ya mkoa mpya wa geita kupelekwa wilayani kwake chato. naambiwa kuwa aliwahi kupindisha miradi ya kitaifa ya barabara ipite wilayani kwake chato, na kama haitoshi aliwahi hata kulazimisha national housing wajenge nyumba zao huko chato bila kuzingatia maslahi ya kibiashara
HUYU NI MAGUFULI, NAANDIKA HAYA LEO LAKINI ANGALIZO KUU NI KUWA WATANZNIA MSITEGEMEE TIJA TOKA KWA HUYU MTU, ILA UKASUKU WA KUKARIRI UREFU WA BARABARA
wiki hii ilikuwa tena wiki ya vicheko kwa watanzania, wakiwa na matumaini mapya kwa mpambanaji aliyerejea tena wizara ya ujenzi kujenga mabarabara toka mtwara hadi bukoba ili siku moja mtanzania aweze kusafiri na gari dogo tola mtwara hadi bukoba. bahati nzuri mpambanaji huyu anarudi wizarani hapao wakati bado takribani km 100 tu barabara zinazoitaji lami ahadi hiyo itimie. barabara izo ni ile inayotoka somanga
karibu na daraja la mkapa hadi karibu na nangurukuru huko lindi (km 60), na mkiwa huko singida kama km30 na ushee.
ni vema tunaomfahamu magufuli tukawapa watanzania angalizo mapema, kuwa wasitegemee mengi kwa mtu huyu ambaye ni mojawapo ya haambilikis wa hapa tanzania
magufuli ni mojawapo ya mawaziri wachache ambao mpaka leo hajaweka msimamo wake wazi wazi kama yupo nasi au yupo na mafisadi, wakati akina sita na wengine wakipigana bila kuangalia maslahi yao yeye hatujui yuko wapi, leo na akina lowasa, kesho na kikwete na pengine mwisho kabisa kama mpambanaji dhidi ya wazembe serikalini.
maamuzi mengine ya maguufuli yamelitumbukiza taifa katika hasara kubwa kama lile la uvuvi haramu, taifa limelipa mabilioni kama gharama za kuhifadhi samaki wale na haijulikani nini mastakabali wetu kuhusu kesi ile ya wavuvi haramu.
alipokuwa wizarani hapo ujenzi alikuwa ni mtu asiyeshaurika, yeye na media kila wakati pasipo stahili
baadhi ya maamuzi tata yaliyogharimu taifa ni kuhusu lile la kuuza nyumba za serikali, ambalo hata leo taifa linajutuia. upo ukweli kuwa alihusika kugawa nyumba hizo hata kwa vimada wake jambo amballo linatilia shaka uadilifu wake.
kubwa zaidi ni ile rushwa aliyokuwa akipewa kupitia taasisi nyeti kama SUMA JKT, upo ushahidi wa kimazingira kuwa mara nyingi alipindisha maamuzi ya bodi za zabuni ili kuwapa wabia wake suma jkt kazi. mojawapo ni zile nyumba za seriakali za mbweni ambazo nyie ni mashahidi kuhusu uozo ule mtupu.inasemekana kuwa yeye huwa salamakulla mlungula kupitia taasisi nyeti kama hizi na hilo amekuwa akitamba wazi wazi, labda ndo maana mafisadi wenzake akina masha nao wakajifanya kuwa usalama wa taifa katika ule wizi wa epa na green ...
magufuli ni mbinafsi wa kutupa, na hili linadhihirisha jinsi alivyokuwa tayari kushinikiza makao makuu ya mkoa mpya wa geita kupelekwa wilayani kwake chato. naambiwa kuwa aliwahi kupindisha miradi ya kitaifa ya barabara ipite wilayani kwake chato, na kama haitoshi aliwahi hata kulazimisha national housing wajenge nyumba zao huko chato bila kuzingatia maslahi ya kibiashara
HUYU NI MAGUFULI, NAANDIKA HAYA LEO LAKINI ANGALIZO KUU NI KUWA WATANZNIA MSITEGEMEE TIJA TOKA KWA HUYU MTU, ILA UKASUKU WA KUKARIRI UREFU WA BARABARA
aliyejenga nyumba za national housing pale chalinze ni magufuli katika harajati zake za kujikomba kw akikwete. yetu macho, nawapa miezi sita kila mmoja wenu atamchoka magufuliTutake tusitake Dr. Magufuli ni mtendaji anayepaswa kuheshimika na kila mtanzania kwa kazi alizolifanyia taifa hili, hivyo vingine ni vitu vya kawaida kwa binadamu. Mkwete anajenga Ikulu msoga, NHC wamejenga nyumba chalinze ambazo hata hazina wakazi bado hatulioni hilo. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
Mi hata muongee nini, sintauona ubora wa Magufuli mpaka atapoomba radhi ya kugawana nyumba za serikali