Angalizo: "M" kuwa makini na "K"

Angalizo: "M" kuwa makini na "K"

Tanzania ni nchi huru na tunafanya mambo yetu kwa umakini Mkubwa. Mpaka sasa majeshi yetu yapo DRC yakipambana kwa mafanikio na waasi wote bila kujali wanasaidiwa na nani. Tanzania ni nchi kubwa
hahaha. ....hahaha. ...dah...jamani hoja zingine zikiwazidi akili ni bora mkanyamaza tu
 
Angalizo lako ni la msingi. Ila unapaswa kuelewa kuwa Rais wa nchi ni taasisi na si mtu mmoja. Wanapojadiliana hawafanyi kwa siri. Kunakuwa na wataalam wa masuala mbalimbali
M ana hulka, silka na tabia ya kujiamria mambo. Je ameshakuwa muungwana vya kutosha kusikiliza ushauri?
 
Mnyarwanda yule ni very smart, hana akili za kukurupuka na anajua anachokifanya.

Kujifanya rafiki mwema ni kichaka tu cha kumficha mkurupukaji wetu.
Tusubiri.
Magufuli ni zaidi ya huyo Mnyarwanda. Baada ya miaka mitano mtakuja kuelewa na kumjua ni mtu wa aina gani. Lazima UKAWA muufyate
 
Magufuli ni zaidi ya huyo Mnyarwanda. Baada ya miaka mitano mtakuja kuelewa na kumjua ni mtu wa aina gani. Lazima UKAWA muufyate
Unataka kumfananisha mtu aliyekaa madarakani kibabe more than ten years na huyu ambaye ana miezi isiyozidi 9?

HOW?
Hapo lumumba hampewi kifungua kinywa siku hizi maana akii yako inaonekana ina njaa sana kwa majibu haya.
 
Tumekuelewa sana

Afadhali umeishia hapo hapo
 
Kauli za "M" juu ya Urafiki na "K" zinaonesha ni jinsi gani "M" anavyomzimikia "K". Lakini awe makini sana na urafiki huo, ili kulinda na kudumisha Usalama. "M" usimruhusu "K" afike mpaka chumbani unakolala.

Ni Angalizo la msingi sana. Sitaki kuongea mengi, lakini mwenye kutafakari ataelewa.

Nawasilisha.
mkuu sasa K lazima imzimikie M....sasa hujui katika gender K inasimama for what...and M inasimama for what....
 
Back
Top Bottom