We huku unafanya nini...wenzio sahivi wapo kupiga push up...nenda kaungane naoMmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
Sio kila jambo lazima uingize itikadi za kisiasa,Na ndivyo ilivyo. Rais wetu yupo makini sana. Amejitoa sadaka kutuletea maendeleo wananchi. Nawashangaa hawa UKAWA wanavyoweweseka
Raiwa ndo kitu gani uandishi uchwara huuMmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
Vipi mgongano wa maslahi kwenye kupiga wale M23 ambao inasemekana wana support ya Rwanda kuiba madini Congo? Tanzania itakuja kujitoa baada kuombwa na Rafiki yake?....natafakari tuu!!
Nakumbuka enzi za JK alipokwaruzana na Kagame ulivyokuwa unatokwa mapovu leo Kagame amekuwa malaika kwako.Kwani huyu K si ndo mlisema tuige kutoka kwake ili nchi isonge mbele? Nini kinawauma sasa?
Kichwa majiMmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
Manufaa mengi! Mazoezi ya jeshi letu maana hatuna vita! Kulinda amani kwa UN mnapata technologia mpy ya silaha...na vifaa vyote wanavyotumia vinarudi ku vyetu uzoefu uzoefu majesh yetu!Kwani Tanzania inafaidika nin kwa kupeleka majeshi kupambana na M23?huu ni wakati wa kuangalia uchumi zaidi kuliko matatizo ya wengine
tena nimesikia M anasema K atatupa maexpart kwenye technologia...hii ni hatari sanaNi kweli kabisa. Usalama wetu unaweza kua jatari bila umakini katika huu urafiki wa ghafla.
Na ndivyo ilivyo. Rais wetu yupo makini sana. Amejitoa sadaka kutuletea maendeleo wananchi. Nawashangaa hawa UKAWA wanavyoweweseka
Hivi yule Luteni Kanali wa Jeshi aliyetorokea R na nyaraka za siri alisharejeshwa?Ni Angalizo tu Lizaboni. Book saba yako iko pale pale. Kumbuka K ni mtaalamu sana wa manipulation. Unaona jinsi alivyoifanya katiba ya nchi yake.
Nimesikia pia tunataka kumkabidhi ATCL alete wataalam wake kuliongoza shirika, this is very serious for our security.tena nimesikia M anasema K atatupa maexpart kwenye technologia...hii ni hatari sana
najiuliza sana kweli K ni wakuaminika kiasi hicho?Nimesikia pia tunataka kumkabidhi ATCL alete wataalam wake kuliongoza shirika, this is very serious for our security.