Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
Siyo kweli mbona watu waliingia hapa wakalipua balozi tupo hapa hapa?Kwa upande wa usalama, Tanzania ni next level. Hakuna wa kutulinganisha katika ukanda huu wa Afrika ya Mashariki
Mbona wanyama kwa mamia wamepakiwa kwenye dege na kupelekwa nje kama vile hatuna vyombo vya usalama? Mbona watu wameramba escrow na epa kiulaini? Mbona mtu kaingia mpaka ikulu kashuhudia yote halafu ghafla anatolewa kuwa siyo yeye?
Mbona nyara mbali mbali zinasafirishwa kimagendo kwenda nje? ... you name it! Hakuna nchi ianyoweza kujisifu kuwa iko salama asilimia 100 hata Marekani haipo salama kivile.