Kagame haaminiki inabidi kumwangalia kwa jicho la tatu, nasikia ni CIA aliyewekwa pale kwa majukumu ya ku-destabilize nchi za maziwa makuu kafanikiwa congo anataka kuhamia kwetu.najiuliza sana kweli K ni wakuaminika kiasi hicho?
pumba zako haziishi m maana yake ni rais? Mwaka huu unalo vip ukuu wa wilaya umeachwa?Mmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
mkuu hivi nikikuita mwana jamii forum uchwara ntakuwa nakosea? kila anaye kuja na mawazo tofauti ni UKAWA.Na ndivyo ilivyo. Rais wetu yupo makini sana. Amejitoa sadaka kutuletea maendeleo wananchi. Nawashangaa hawa UKAWA wanavyoweweseka
Kauli za "M" juu ya Urafiki na "K" zinaonesha ni jinsi gani "M" anavyomzimikia "K". Lakini awe makini sana na urafiki huo, ili kulinda na kudumisha Usalama. "M" usimruhusu "K" afike mpaka chumbani unakolala.
Ni Angalizo la msingi sana. Sitaki kuongea mengi, lakini mwenye kutafakari ataelewa.
Nawasilisha.
Kwani huyu K si ndo mlisema tuige kutoka kwake ili nchi isonge mbele? Nini kinawauma sasa?
Mpinzani ni nani sasa?Ndio maana siku zote nawaambia ninyi wapinzani hamna akili. Ona sasa jinsi mlivyo kigeugeu
Kauli za "M" juu ya Urafiki na "K" zinaonesha ni jinsi gani "M" anavyomzimikia "K". Lakini awe makini sana na urafiki huo, ili kulinda na kudumisha Usalama. "M" usimruhusu "K" afike mpaka chumbani unakolala.
Ni Angalizo la msingi sana. Sitaki kuongea mengi, lakini mwenye kutafakari ataelewa.
Nawasilisha.[/QUO
Duuh wewe unaonekana unajua lukuki ngoja nitoke mbio nimeishiwa more comments 🙂🙂
Lizaboni badili basi hiyo avatar yako maana ina k na k wakisuguana! Weka na M na K wakitabasamu zama zimebadilika!Na ndivyo ilivyo. Rais wetu yupo makini sana. Amejitoa sadaka kutuletea maendeleo wananchi. Nawashangaa hawa UKAWA wanavyoweweseka
K na UKAWA wametoka wapi tena.Magufuli ni zaidi ya huyo Mnyarwanda. Baada ya miaka mitano mtakuja kuelewa na kumjua ni mtu wa aina gani. Lazima UKAWA muufyate
Unazungumzia madikteta uchwara au nini mimi sijakuelewa!Kauli za "M" juu ya Urafiki na "K" zinaonesha ni jinsi gani "M" anavyomzimikia "K". Lakini awe makini sana na urafiki huo, ili kulinda na kudumisha Usalama. "M" usimruhusu "K" afike mpaka chumbani unakolala.
Ni Angalizo la msingi sana. Sitaki kuongea mengi, lakini mwenye kutafakari ataelewa.
Nawasilisha.
Ukisema initials hizo inaweza kuwa Mkapa na Kikwete au Mbowe na Kinana au Maji marefu na Kibajaji. Hapo huwezi kumkamata ntu.Kwani hizo initials zinasimama badala ya nini? Kuwa na akii japo kwa muda mfupi
Wazinzi utawajua tu..😀😀mhhh M nilijua ni ....oo na K nilijua
....ma kumbe mwawaongelea wazee wa kaya
Lizabon si lazima uchangie kila kitu nenda kalime
Tena kesi inaweza kumgeukia yeye huyu kiherehere.Ukisema initials hizo inaweza kuwa Mkapa na Kikwete au Mbowe na Kinana au Maji marefu na Kibajaji. Hapo huwezi kumkamata ntu. Ukianza kutaja wewe ndipo hapo wanakwambia unajishuku. Huyu amerusha jiwe kwenye umati atakayeguna ndiyo limempata.