Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
hivi mbunge wa sengerema anaitwa nani?Post za kisengerema
hivi mbunge wa sengerema anaitwa nani?Post za kisengerema
hata angekuwa jambazi" tunachotaka ni kodi.Mnyarwanda yule ni very smart, hana akili za kukurupuka na anajua anachokifanya.
Kujifanya rafiki mwema ni kichaka tu cha kumficha mkurupukaji wetu.
Tusubiri.
Tanzania ni nchi huru na tunafanya mambo yetu kwa umakini Mkubwa. Mpaka sasa majeshi yetu yapo DRC yakipambana kwa mafanikio na waasi wote bila kujali wanasaidiwa na nani. Tanzania ni nchi kubwa
Mkuu... Jamaa ni king wa manipulation, he can turn tables na kukudemonize pale anapoona huendani na matakwa yakeNi Angalizo tu Lizaboni. Book saba yako iko pale pale. Kumbuka K ni mtaalamu sana wa manipulation. Unaona jinsi alivyoifanya katiba ya nchi yake.
Kauli za "M" juu ya Urafiki na "K" zinaonesha ni jinsi gani "M" anavyomzimikia "K". Lakini awe makini sana na urafiki huo, ili kulinda na kudumisha Usalama. "M" usimruhusu "K" afike mpaka chumbani unakolala.
Ni Angalizo la msingi sana. Sitaki kuongea mengi, lakini mwenye kutafakari ataelewa.
Nawasilisha.
Uelewa wako mdogo sanaMmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
WanawashwaNdio maana siku zote nawaambia ninyi wapinzani hamna akili. Ona sasa jinsi mlivyo kigeugeu
Mmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
Mbona una kiherehere? Nani kataja mambo ya Rais hapo? Kamuonya "M" kuwa makini na "K" hayo usemayo ni yako.Mmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
Acha upuuzi Lizaboni hapa tunazungumzia nchi si suala la ccm na upinzaniNdio maana siku zote nawaambia ninyi wapinzani hamna akili. Ona sasa jinsi mlivyo kigeugeu
Hiyo kauli siyo ya wapinzani! Ni kauli ya mwana jamvi mmoja hapa, think twinceNdio maana siku zote nawaambia ninyi wapinzani hamna akili. Ona sasa jinsi mlivyo kigeugeu
Kuteua Mkuu wa wilaya alafu kumfukuza katikati ya maapisho ni 'uholela' au sio 'uholela'?Mmeshaanza kuweweseka. Tulieni. Hivi unadhani Raiwa nchi anafanya mambo kiholela? Rais hushirikiana katika yale tu yaliyojadiliwa na kukubaliwa na pande mbili. Ndio maana waliotiliana saini ya ushirikiano ni mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi mbili na si Marais
Ni Ukurupukaji UchwaraKuteua Mkuu wa wilaya alafu kumfukuza katikati ya maapisho ni 'uholela' au sio 'uholela'?
duuuh,hizo herufi ulivoandika nikaanza kuwaza ujinga wangu na weekend hii,kumbe mnaongelea mambo ya maana kabisa kwa mustakabali na ustawi wa nchi yetu,samahani kwa muanzisha uzi kwa kukurupuka na kutaka kuzitafsiri tofauti herufi zako za M na K..Kauli za "M" juu ya Urafiki na "K" zinaonesha ni jinsi gani "M" anavyomzimikia "K". Lakini awe makini sana na urafiki huo, ili kulinda na kudumisha Usalama. "M" usimruhusu "K" afike mpaka chumbani unakolala.
Ni Angalizo la msingi sana. Sitaki kuongea mengi, lakini mwenye kutafakari ataelewa.
Nawasilisha.
Umeeleweka mkuu.duuuh,hizo herufi ulivoandika nikaanza kuwaza ujinga wangu na weekend hii,kumbe mnaongelea mambo ya maana kabisa kwa mustakabali na ustawi wa nchi yetu,samahani kwa muanzisha uzi kwa kukurupuka na kutaka kuzitafsiri tofauti herufi zako za M na K..