Angalizo kwa mabinti wa humu!!!!!!!

Angalizo kwa mabinti wa humu!!!!!!!

Mbona unang'ata na kupuliza, kama panya buku anayememena ngozi ya mtu?
Kuna siku uliweka thread yako hapa kujisifia kuwa utampindua mke wa huyo bwana...
Leo hii naona umekuja na kisanga kingine eti huzitaki mbichi hizo hahahah kweli mfadhili mbuzi utaunywa mchuzi...
Watanzania wengi kama wewe wanatafunwa na ulimbukeni na kutokuelimika
 
Mbona unang'ata na kupuliza, kama panya buku anayememena ngozi ya mtu?
Kuna siku uliweka thread yako hapa kujisifia kuwa utampindua mke wa huyo bwana...
Leo hii naona umekuja na kisanga kingine eti huzitaki mbichi hizo hahahah kweli mfadhili mbuzi utaunywa mchuzi...
Watanzania wengi kama wewe wanatafunwa na ulimbukeni na kutokuelimika
wenye kunielewa wamenielewa ulitaka niwatishe?kila kitu kina faida na side effects zake mswahili kama wewe uliyezoea wanawake wenye uchafu katikati ya mapaja hutonielewa kamwe.
we wako hao tunaoendesha X5 hutuwezi.
Pole sana nahitaji dreva wa kusafirisha magari unaweza ukanipm tukafanye arrangment
 
Mweee poyeee maana mume unamtamani{na hautokuja kumpata} roho inatapatapa hapo bi dada naomba nikwambie tu kuwa huyo mume wa mtu akili ikimrudia hakika utapata heart attack maana hilo li v8 utaliona mzigo nakwambia maana kulihudumia hautoweza,na maskini watoto hawatapata malezi ya baba sababu ya mama yao huyu mpenda vya watu....poyeee wakati wako wa kuvuna ulichopanda waja
 
Hahahahh...ngoja nicheke mimi niongeze walau siku za kuishi kuliko kundelea kujibizana na mtu kama wewe.
Unachokifanya hapa ni kujitangazia biashara yako ya kuchukua waume za watu na huna lolote...
Mie nihangaike na shimo lako hilo lililojichokea kama domo la tahaira kutwa kudema miudenda tu...
Gari lenyewe la kuhongwa baada ya kugawa uvundo wa uwemba wako huo ndilo wajisifia...
Ptuuuuu!!!!


wenye kunielewa wamenielewa ulitaka niwatishe?kila kitu kina faida na side effects zake mswahili kama wewe uliyezoea wanawake wenye uchafu katikati ya mapaja hutonielewa kamwe.
we wako hao tunaoendesha X5 hutuwezi.
Pole sana nahitaji dreva wa kusafirisha magari unaweza ukanipm tukafanye arrangment
 
Hahahahh...ngoja nicheke mimi niongeze walau siku za kuishi kuliko kundelea kujibizana na mtu kama wewe.
Unachokifanya hapa ni kujitangazia biashara yako ya kuchukua waume za watu na huna lolote...
Mie nihangaike na shimo lako hilo lililojichokea kama domo la tahaira kutwa kudema miudenda tu...
Gari lenyewe la kuhongwa baada ya kugawa uvundo wa uwemba wako huo ndilo wajisifia...
Ptuuuuu!!!!

Best una maneno sana jamani mzaramo nyuma
 
Unajua dada sio kila kitu lazima mtu ajifanyie experience mwenyewe
UNajuta leo ila ungeweza kukwepa hayo majuto if only you had listened
Hivi kuna mtu/kabila hajui/halijui kua kudate mume wa mtu ni mwiko?
Hongera kwa kujitambua na kujirudi, let's hope you stick to your decision
 
Mbona unang'ata na kupuliza, kama panya buku anayememena ngozi ya mtu?
Kuna siku uliweka thread yako hapa kujisifia kuwa utampindua mke wa huyo bwana...
Leo hii naona umekuja na kisanga kingine eti huzitaki mbichi hizo hahahah kweli mfadhili mbuzi utaunywa mchuzi...
Watanzania wengi kama wewe wanatafunwa na ulimbukeni na kutokuelimika
Bu-bu-bu-bu BUSTED!
Kumbe ndio huyu huyu?
Ngoja nimwite EMT kwanza
 
Last edited by a moderator:
Yup ndio huyu huyu, tena nakumbuka siku hiyo alikuwa anawakebehi sana wale waliokuwa wakimtakia mema kwa kumkanya na kumuelekeza

Bu-bu-bu-bu BUSTED!
Kumbe ndio huyu huyu?
Ngoja nimwite EMT kwanza
 
Last edited by a moderator:
Yup ndio huyu huyu, tena nakumbuka siku hiyo alikuwa anawakebehi sana wale waliokuwa wakimtakia mema kwa kumkanya na kumuelekeza
teh teh teh... I can pretend I hate to say this but I would be lying, so I just say it with my machiavellic smile: Remember, we told you! :A S-fire1:Hahahahahaha :A S-fire1::heh:
 
teh teh teh... I can pretend I hate to say this but I would be lying, so I just say it with my machiavellic smile: Remember, we told you! :A S-fire1:Hahahahahaha :A S-fire1::heh:

Hizi ni threads zake pekee hapa jamvini, na zilirushwa hapa tarehe 1 ya mwezi Mei...
Halafu mtu huyu huyu anadai anajuta khaaa


i dont know how to explain it but all in all tokea niyajue mahusiano mie na wanaume za watu tu na kiukweli wananipenda sana na napendana nao sana na huwa tunadumu sana ila nkidate bachelor hata aweje sichukui 3 months tunapigana chini wengi wao nawapiga chini mie huku wanalia.
hili ni tatizo au ni nini?kwa uzuri am veeeery beautiful.
Kwa sasa nipo na mume wa mtu mmoja kitengo fulani na nina mimba ya miezi 4 thankx Good am going to be a mother within 5 months na hapa nipo unpaid leave nkimaliza maternity leave leave baby kaniambia he cant tolerate to see sufferring working while am pregnant carrying his baby mtoto wake wa 4 na inshaalah tutaongeza watano soon.
Nampenda sana ananifikisha ananijali,sijasema kitu kaniletea sijakohoa kesha npuliza kifua kati ya wote acha tu nimzalie'
Baby love you so much najua upo kikazi nimekumiss sana hali haijabadilika namiss sana ukimkumbatia mwanao tumboni:hug::hug:

bi dada kweli umeolewa kihalali kabisa naheshimu hilo ila mumeo kanitaka tukaanza uhusuiano now ni mke mwenzio
mumeo kabla hajakutana na mimi alikuwa kicheche sana hilo unalijua juhudi zangu za ziada nikamtuliza now mimi na wewe tu kila kitu sare shopping nafanya mwenyewe sijaruhusu akudharau kama zamani unanijua kuwa mi ni mke mwenzio ila kila siku kunitafuta kwa simu hutaki kukubali matokeo kama namchango mkubwa kwako na kwa ndoa yakompaka wifi zetu wananisifia wanasema mie kiboko ya mumeo.
Kwa nini unichukie??why dont we make a peace?
by the way nkiachana na mume wako you have more to loose than me .
wadau hii si sawa?? jamani wanawake mkubali matokeo najua wengi yanawakuta ila uzembe wenu wa kutokubali matokeo.
Ukiendelea nakushtaki TAMWA
 
Hizi ni threads zake pekee hapa jamvini, na zilirushwa hapa tarehe 1 ya mwezi Mei...
Halafu mtu huyu huyu anadai anajuta khaaa

watu8 hapo mimi nakuvulia kofia wewe ni mzee wa investigation huyu naye umemkamatisha kama waleeeeeeeee uliowamatisha wakatelekeza post....kumbe njia ya muongo ni fupi wakiwepo wa kufuatilia kama wewe.
 
NI VIGUM KUUAMINISHA ULIMWENGU LKN NATHUBUTU KUAMINI KUWA HAKUNA UAMINIFU KWNY NDOA ATA MAPENZ YA KAWAIDA LICHA YA KUWEPO THEORIES NYING NA NJIA NYING ZA KUPEANA MA-CONFIDENCE TUAMIN UAMINIFU UPO"

Nacctza, UAMINIFU HAUPO TENA LIMEBAKI JINA TU!
 
Jamani wadogo zangu ambao hamjaolewa nawausia(japo nafsi yangu siiusii maana mimi ni mhanga tayari) please naandika kwa uchungu sana msidate na wanaume za watu.Jamani hawa watu si wazuri kabisa kwani hawatakuoa wataishia kukuzalisha tu.
Wanaume za watu wanasababisha wewe usiolewe maana wote tunajua wanaume za watu wanajua kuhonga(pesa ni silaha yao kubwa) wakiwa wanakupa pesa na kukupa matumizi wanajidai kukujali kama mke wake ila ukweli anakuharibia maisha maana vijana wanaotafuta maisha au wanaoanza maisha utawaona hawafai tena(hawa hawanaga hela kwa sababu wanakuwa wanaanza kujipanga maisha).
Kwa hiyo wewe utakuwa mtu wa kufata maisha ya wanaume wenye hela tu na probably wanaume za watu ndio tabia zao hizo.Hadi unakuja kushtuka umri umeenda na hakuna mtu wa kukuoa(hapa sie magumegume ndo tunaaply ile theory unamchukua mume wa mtu mmoja anayeeleweka kimaisha na at least mwenye kujali sana unazaa nae kabla menstruation cycle haijastop).
Na kama unataka kudate waume zawatu please usidumu nao more than a year na pia usidate wapare au wachaga hawa watu ni mabahili sana.Watakupa hela pale unapotoka nae gesti tu ila ukiwa na shida usitegemee atakupa hela(hili nimeshapitia)
Ila wewe kama unajifanya kichwa ngumu unapenda hela zaidi na hujali future nifate pm nikupe maujanja zaidi ya kuwakamata hawa watu.
Najua mtaniponda ila mie maisha yalisababisha mpaka nianze kutembea nao nikiwa darasa la 7 mpaka leo nina miaka late 30's nimeshajichokea nimejiamulia kuzaa na hapa nazaa na kigogo mkubwa sana kanifungulia biashara naamka saa 4 asubuhi hela zinanifata home,mambo yote nafanyia nyumbani shida siijui ikoje.
Naendesha x5 maisha barabara mdogo wangu yupo UK anasoma (Alhamdulillah kwa kweli)anasomeshwa na shemejie nimeriskvitu vingikwa ajili ya huyu mdogo wangu sitaki apitie maisha niliyopitia leo)

Ukiniona nimewaka vibaya sana hata hutojua miaka yangu sababu ya matunzo na hela ila natamani ningegundua mapema hayo ningeachana na hawa watu sahivi ningekuwa na mume wangu na mie.

Kama ulishawahi kusikia tabia ya panya ya kung'ata na kupuliza, basi na wewe dada yangu unayo tabia hiyo. Heading/title ya thread yako inatia hamasa kusoma andiko lako ulilokusudia kulifikisha kwa hao walengwa, na pia mwanzo umeanza vizuri japo andiko lako halina hata paragraph, any no problem nimejitahidi kusoma na kuelewa lengo lako.

Mwishoni ulichoandika ni tofauti kabisa na dhima mahususi ya andiko lako, maana hapa inaonesha unaelezea positive impact za kuwa na wanaume za watu, ili hali mwanzoni umewaponda na kutoa tahadhari kwa wenzako, na hapo ndipo ninapokufananisha na ile tabia ya Panya ya kuuma na kupuliza.

Mwisho kabisa lengo kuu la andiko lako inaonesha sio Angalizo kama ulivyosema ila ni oposite yake, na wala huna majuto yoyote bali unasherekea kuendesha X5, nk, na ungependa wenzako wawe kama wewe thus why umeomba hata wa ku pm.
 
Unajua dada sio kila kitu lazima mtu ajifanyie experience mwenyewe
UNajuta leo ila ungeweza kukwepa hayo majuto if only you had listened
Hivi kuna mtu/kabila hajui/halijui kua kudate mume wa mtu ni mwiko?
Hongera kwa kujitambua na kujirudi, let's hope you stick to your decision

Mwali huyu hujamsoma vizuri hana majuto yoyote hapo alipo ndio maana anasema anaendeshax5, jumba sijui limefanyaje, mdogo wake anasomeshwa sijui UK,and so...., na mbaya zaidi anasema wenye nia ya kumeki pesa wam pm, can you see how she lying, ni kama anauma na kupuliza kama ilivyo tabia ya Panya.
 
du, hao wachaga na wapare wamekuudhi nn sasa si ndio viongozi wa m4c wazee wa mabadiliko.
hatuna letu,lakini wanasemaga hivyo huku wanakupa mambo!ukitaja tuu hayo makabila wanafikiri pesa ipo
 
Jamani wadogo zangu ambao hamjaolewa nawausia(japo nafsi yangu siiusii maana mimi ni mhanga tayari) please naandika kwa uchungu sana msidate na wanaume za watu.Jamani hawa watu si wazuri kabisa kwani hawatakuoa wataishia kukuzalisha tu.
Wanaume za watu wanasababisha wewe usiolewe maana wote tunajua wanaume za watu wanajua kuhonga(pesa ni silaha yao kubwa) wakiwa wanakupa pesa na kukupa matumizi wanajidai kukujali kama mke wake ila ukweli anakuharibia maisha maana vijana wanaotafuta maisha au wanaoanza maisha utawaona hawafai tena(hawa hawanaga hela kwa sababu wanakuwa wanaanza kujipanga maisha).
Kwa hiyo wewe utakuwa mtu wa kufata maisha ya wanaume wenye hela tu na probably wanaume za watu ndio tabia zao hizo.Hadi unakuja kushtuka umri umeenda na hakuna mtu wa kukuoa(hapa sie magumegume ndo tunaaply ile theory unamchukua mume wa mtu mmoja anayeeleweka kimaisha na at least mwenye kujali sana unazaa nae kabla menstruation cycle haijastop).
Na kama unataka kudate waume zawatu please usidumu nao more than a year na pia usidate wapare au wachaga hawa watu ni mabahili sana.Watakupa hela pale unapotoka nae gesti tu ila ukiwa na shida usitegemee atakupa hela(hili nimeshapitia)
Ila wewe kama unajifanya kichwa ngumu unapenda hela zaidi na hujali future nifate pm nikupe maujanja zaidi ya kuwakamata hawa watu.
Najua mtaniponda ila mie maisha yalisababisha mpaka nianze kutembea nao nikiwa darasa la 7 mpaka leo nina miaka late 30's nimeshajichokea nimejiamulia kuzaa na hapa nazaa na kigogo mkubwa sana kanifungulia biashara naamka saa 4 asubuhi hela zinanifata home,mambo yote nafanyia nyumbani shida siijui ikoje.
Naendesha x5 maisha barabara mdogo wangu yupo UK anasoma (Alhamdulillah kwa kweli)anasomeshwa na shemejie nimeriskvitu vingikwa ajili ya huyu mdogo wangu sitaki apitie maisha niliyopitia leo)

Ukiniona nimewaka vibaya sana hata hutojua miaka yangu sababu ya matunzo na hela ila natamani ningegundua mapema hayo ningeachana na hawa watu sahivi ningekuwa na mume wangu na mie.


Jua lishazama that why ukakubali kubebeshwa mtoto thamani ya kuwa Mrs.flani huna,,,tokea standard 7 unapigwa nao duh!
 
Back
Top Bottom