Kwa hiyi sasa hivi unaiba na mume wa mtu na kumchuma pesa kama kawa halafu unaandika maisha unavyoyapenda etc then unasema unakosa mtu tu wakumuita wa kwako.
Mie sioni kama unafundisha mtu hapa si bora usingeandika maneno mengine yakutamanisha, acha hizo unataka tu wafuasi.
Haya na wewe nakwambia mume wa mtu ni sumu, huyo kigogo ni sumu. Utalia vyote vikipotea siku moja inaweza chukua dakika tu. Haujisikii vibaya kuiba mume wa mwanamke mwenzako? Ulidhani utaolewa ndio maana ulimshikiria sasa unaona kila kitu second best au hata iyo nakupa chati yaani wewe ni hata hauna dhamani kwake.
Shughuli zake zote yeye na mkewe na watoto wao.
Koma kuiba mume wa mtu, nimefurahi akuchukulii kama mke umeshindwa kumfanya wako unalia lia sasa.