Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,094
- 34,181
Hongera Mhe. Rais kwa kuendelea kufufua shirika letu la ndege, ndege 7 kwa kipindi cha miaka 4 ni hatua kubwa. Wastani wa kununua ndege 2 kila mwaka, what a President 👏👏👏
Rai yangu kwako ni kuendelea kujenga misingi imara ya usimamizi na uangalizi wa shirika, audits ziwe zinafanyika mara kwa mara. Hii itasaidia kushauri hatua za kuchukua iwapo shirika litakuwa linaendeshwa kwa hasara kwa kuwa hizi ni kodi zetu Wananchi.
Tusipofanya hivyo kuna hatari fedha zetu tulizoweka humo zikapotea bure ili hali ni fedha nyingi tumewekeza.
Tujifunze awamu zilizopita, Mwalimu J.K. Nyerere aliacha ndege zipatazo 14 lakini hadi leo hii tumeshindwa kujua zilipo na hatimaye tumeanza upya kununua ndege.
Rai yangu kwako ni kuendelea kujenga misingi imara ya usimamizi na uangalizi wa shirika, audits ziwe zinafanyika mara kwa mara. Hii itasaidia kushauri hatua za kuchukua iwapo shirika litakuwa linaendeshwa kwa hasara kwa kuwa hizi ni kodi zetu Wananchi.
Tusipofanya hivyo kuna hatari fedha zetu tulizoweka humo zikapotea bure ili hali ni fedha nyingi tumewekeza.
Tujifunze awamu zilizopita, Mwalimu J.K. Nyerere aliacha ndege zipatazo 14 lakini hadi leo hii tumeshindwa kujua zilipo na hatimaye tumeanza upya kununua ndege.