Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,627
- 8,567
Tatizo nini hapo? Rais sio mjomba!
upo wrong hauna mahali nimesema ni Tshs ni mambo ya USD post zangu zoteDuh umechemsha mkuu sio Tsh Million 16 ni $ million 16 hahahaha
Hata mimi najiuliza sana hii kitu ni kwa nini safari hii ujio wa hii ndege umefanywa kuwa siri sana...Mbona jamaa aliyesema ndege itatua ikasemwa muongo akamatwe mbona kweli imefika ?
Nchi hii ilikuwa kwenye chumba cha watu MAHUTUTI/ Intensive Care Unit "ICU".Hv ICU unakujua au unakata mauno tu hapa jamvin?
ha ha ha ha ha........ inachekesha, hiyo hata yule mjukuu wangu wa std III si anaimba kama wimbo wa Taifa, mpe mtihani mwingine mwepesiMakonda yuko vizuri katika kumbukizi, yaani ametaja mito yote mikubwa ya Dar na km zake bila kusoma.
Sasa wanalamba nini, husikiii wala huoni mtu ametoka hapo kwenu, wiki bomba halima maji kaenda kuoga Mwanza,Upo hapoNchi hii ilikuwa kwenye chumba cha watu MAHUTUTI/ Intensive Care Unit "ICU".
Ingekuwa hata ni Afazali kama angeikuta ikiwa kwenye chumba cha HDU "High Dependency Unity"
Kwa kifupi nchi ilikuwa inapumulia machine katika sekta nyingi. WACHACHE ndo waliokuwa nazo na WENGI walibaki wakilamba vidole tu MASKINI.
Sasa kwa kuwa amefuruga Mtaandao wenu ndo mnamchukia sana.
Mwacheni afanye kazi yake.
Ukweli unauma,lakini ni vizuri tuuseme jamani.
Inawezekana anachosema ni kweli.Sio ndege za Magufuli acha wehu ww..ni ndege zao..ndege za wananchi ..upo nyonyo!
Uzushi mkubwa.Usiamini kila linalosemwa mitandaoni.Sasa wanalamba nini, husikiii wala huoni mtu ametoka hapo kwenu, wiki bomba halima maji kaenda kuoga Mwanza,Upo hapo
Weweee majiUnawashwa wewe.
We wa wapi?Weweee maji
Sasa kama wanakijiji kazi yao kula na kuzaliana hawaumuzi kichwa waaache
Halafu imekuja na watu watatu tu, yule rubani kutoka boeng na marubani wabongo wawiliHata mimi najiuliza sana hii kitu ni kwa nini safari hii ujio wa hii ndege umefanywa kuwa siri sana...
Nilijua yule jamaa wa atcl tv anasema urongo ndo maana waziri kamulwe aling'aka lakini kumbe ilikuwa kwel ila sirikali haikutaka watu wajue...
Kwa vile wewe mshamba unafikiri wote washamba kama wewe. Mumekuja mjini hata magovi hamjakata leo mnajifanya ndio wenye mji.KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU
SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO
NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI...NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA
MSIKURUPUKE KUJA HUMU
KAMA MKO NILIPO HAPA AIRPORT NAOMBA MSIKIMBIE MSIJETUTIA AIBU