Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,124
Hapo ndipo nikishangaa; yaani mtu anahamasisha watu wasijiandikishe Alafu yeye anawahi kujiandikishaHapo Na.9 Hapo walikuwa wanahamasishana wasijiandikishe, nadhani Halima Mdee na mtu pekee aliyepaona! Sasa kituko unashawishi watu wako wasijiandikishe, halafu unatoka hapo unaenda kugombea, sasa sijui nani atakuchagua.