Angalia mwongozo wa kanuni uliyowachinja Wapinzani

Mm ni CCM ila kwa haya yanayofanywa mm binafsi siungi mkono kabisa. Mathalani huku ninakoishi wapinzani wote hata wale unaona kabisa huyu kushinda ni asilimia 0 anaenguliwa kijinga jinga tu. Chama kinafaa kutumia upinzani kujipima mwelekeo. Hapa kila nyumba inaongea uchafu huu wa CCM na hata wale CCM wenyewe. Lazima tubadilike.
 
Wewe ulikalia vidole vyao ndiyo sababu akili zimekutoka
CCM waliwapa wagombea wao semina elekezi jinsi ya kujaza wapinzani wakabaki mitandaoni kulalama sasa wamejaza vidole juu wamekosea wanalia .

Panueni akili sio vidole

State agent
 
Itawafaa nini nyie CCM, hata mkishinda viti vyote kwa hila na ghiriba,
Nyie bila figisu figisu hamna chenu kwenye Sanduku la kura.
 
Watu wote hawa wawe wajinga kiasi hiko? Kama ww umeweza kugundua basi hata wao waligundua mapema sana,
I think ni time ya kufuta vyama vingi kibaki kimoja tu,
Vyama vingi wala havifutwi,kinakufa chama cha kijani.

Ukiona wanatumia nguvu kupita kiasi ujue mbinu zote za ki akili zimekwisha.
ccm wafwa!!!!!
 
Ulivyosema mmbichi nikadhani nyie vijana wawili tena vidume mulimgegeda huyo Dada!
Tulimkanya tu mana alikuwa mwal mnoko hata kwa mambo madogo, yy alikuwa anajifanya ana ujasir kuliko hata walimu wa kiume
 
CCM waliwapa wagombea wao semina elekezi jinsi ya kujaza wapinzani wakabaki mitandaoni kulalama sasa wamejaza vidole juu wamekosea wanalia .

Panueni akili sio vidole

State agent
63sawa kabisa kazi yao kulalamika tu hawaangalii kama wanajaza madudu
 
Wacha ulofa wewe! Akili yako ndio imekubaliana na hilo!!!

CCM waliwapa wagombea wao semina elekezi jinsi ya kujaza wapinzani wakabaki mitandaoni kulalama sasa wamejaza vidole juu wamekosea wanalia .

Panueni akili sio vidole

State agent
 
Kwa hizo kanuni zilivyo na vichwa vya wapinzani wengi vilivyo wengi vilivyo vibovu watakuwa wamekosea Sana kujaza
 
CHADEMA acheni kulialia , wenzenu CCM walikuwa na wanasheria kabisa wa kuwasaidia wagombea wao kujaza form ,kifupi CCM walijipanga ,

Angalia hii form ni ya Mgombea wa upinzani
IMG_20191105_233655.jpeg
 
WALE WANAOLALAMIKA WAMEONEWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAMEZINGATIA HAYA?
1 . Kama majina yake yatatofautiana kati ya majina aliyojaza kwenye fomu na majina aliyojiandikisha kwenye daftari. Angalia kanuni ya 13 (e) Uk. 152

2. Endapo mdhamini hataandika majina matatu na cheo ktk vyama. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.2 (d) Uk. 10-11

3. Jina alilojaza wakati anachukua fomu lifanane na lililopo kwenye fomu ( dispatch book vs forms). Angalia kanuni ya 17 (1) Uk. 153

4. Mgombea arejeshe fomu mwenyewe na kusaini. Angalia kanuni ya 17 (2) Uk. 153

5. Majina ya mdhaminiwa yafanane na ya mgombea yaliyojazwa kwenye fomu. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.2 (a-d) Uk. 10-11

6. Fomu ya kiapo iwe halisi iliyotolewa na msimamizi msaidizi na ishuhudiwe na msimamizi msaidizi ngaz husuka. Angalia kanuni ya 16 (e) Uk. 152

7. Fomu zijazwe na mhusika lazima ziwe zimesainiwa. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.2 (e&f) Uk. 10-11

8. Fomu zishuhudiwe na ngazi ya chini ya chama itakayobainishwa na chama. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.1 & 14.2 (a) Uk. 10-11

9. Ambaye hajajiandikisha hana sifa ya kuwa mgombea. Angalia kanuni ya 13 (e)Uk. 152, ilinganishe na Kanuni ya 16 (d) Uk. 152 na Kanuni ya 14 (a) Uk. 152

10. Aliyejiandikisha mara mbili atakuwa amepoteza sifa ya kugombea au kupiga kura. Angalia kanuni ya 14 (b)Uk. 152

11. Lazima aeleze shughuli halali inayomwingizia kipato na endapo atabainika kudanganya atakuwa amepoteza sifa. Angalia kanuni ya 15 (d)Uk. 152

12. Atakayeomba nafasi zaidi ya moja kwenye fomu moja atakuwa amepoteza sifa. Angalia kanuni ya 17 (1) & (5) Uk. 152-153

13. Nafasi anayoomba ionekane mpaka kwenye fomu ya kiapo. Angalia kanuni ya 17 (1)Uk. 153 isome sambamba na Kanuni ya 16 (e) Uk. 153

14. Fomu zijazwe kwa ukamilifu. Angalia kanuni ya 17 (2) Uk. 153

15. Eneo la uraia ajaze uraia siyo nchi mfano: Mtanzania na siyo Tanzania. Angalia kanuni ya 17 (1-5) Uk. 153-154

16. Usahihi wa maeneo kwa mujibu wa GN mfano chankobe akiandika chakobe atakuwa amepoteza sifa maana eneo hilo litakuwa halipo ktk GN. Angalia kanuni ya 15 (e) Uk. 152 & Kanuni ya 17 (1-5) Uk. 153-154.

17. Mwombaji aeleze anaomba nafasi ipi na wapi mfano nafasi anayoomba mwenyekiti wa Kijiji cha Kagera vinginevyo atakuwa amepoteza sifa. Angalia kanuni ya 15 (e) Uk. 152

18. Fomu ijazwe taarifa inayohitajika tu, kuwepo kwa maandishi au michoro isiyohitajika hilo ni kosa. Angalia kanuni ya 17 (5) Uk. 154

19. Mgombea arejeshe fomu zote mbili kinyume na hapo hana sifa. Angalia kanuni ya 17 (2), (3) na (4) Uk. 153-154

20. Kama mgombea ameomba nafasi mbili unaweza kumteua nafasi moja. Angalia kanuni ya 17 (1)& (5) Uk. 153-154

21. Mgombea akiwa na ajira, wadhifa au uteuzi wowote katika mihimili ya Serikali atakuwa amepoteza sifa za kuchaguliwa. Anagalia kanuni ya 16 (f)Uk. 153

22. Ikiwa Mgombea alichukua fomu na hakurejesha atakuwa amepoteza sifa za kuchaguliwa. Angalia Kanuni ya 17 (2), (3) na (4)

23. Mgombea ambaye hatadhaminiwa na ngazi ya chini ya Chama chakeatakuwa amepoteza sifa za kuchaguliwa. Angalia mwongozo wa uchaguzi sehemu 14.1 na 14.2 (a)

Kabla ya kulalamika kukatwa majina,Jiridhisheni kwa kila hatua kama mmekidhi vigezo na masharti sio kulalama....

Qumar nyie

Mandhanj nyie tu ndio mna akili za kujaza fomu?

Qumar kabisa!

Na miaka yote walikua wanaweza halafu mwaka huu ghafla hawawezi?

Wagombea wa CCm wote wamesoma Harvard wa Ukawa wamesoma chini ya mti?

Qumar kabisa!
 
WALE WANAOLALAMIKA WAMEONEWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAMEZINGATIA HAYA?
1 . Kama majina yake yatatofautiana kati ya majina aliyojaza kwenye fomu na majina aliyojiandikisha kwenye daftari. Angalia kanuni ya 13 (e) Uk. 152

2. Endapo mdhamini hataandika majina matatu na cheo ktk vyama. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.2 (d) Uk. 10-11

3. Jina alilojaza wakati anachukua fomu lifanane na lililopo kwenye fomu ( dispatch book vs forms). Angalia kanuni ya 17 (1) Uk. 153

4. Mgombea arejeshe fomu mwenyewe na kusaini. Angalia kanuni ya 17 (2) Uk. 153

5. Majina ya mdhaminiwa yafanane na ya mgombea yaliyojazwa kwenye fomu. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.2 (a-d) Uk. 10-11

6. Fomu ya kiapo iwe halisi iliyotolewa na msimamizi msaidizi na ishuhudiwe na msimamizi msaidizi ngaz husuka. Angalia kanuni ya 16 (e) Uk. 152

7. Fomu zijazwe na mhusika lazima ziwe zimesainiwa. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.2 (e&f) Uk. 10-11

8. Fomu zishuhudiwe na ngazi ya chini ya chama itakayobainishwa na chama. Angalia mwongozo wa uchaguzi kipengele cha 14.1 & 14.2 (a) Uk. 10-11

9. Ambaye hajajiandikisha hana sifa ya kuwa mgombea. Angalia kanuni ya 13 (e)Uk. 152, ilinganishe na Kanuni ya 16 (d) Uk. 152 na Kanuni ya 14 (a) Uk. 152

10. Aliyejiandikisha mara mbili atakuwa amepoteza sifa ya kugombea au kupiga kura. Angalia kanuni ya 14 (b)Uk. 152

11. Lazima aeleze shughuli halali inayomwingizia kipato na endapo atabainika kudanganya atakuwa amepoteza sifa. Angalia kanuni ya 15 (d)Uk. 152

12. Atakayeomba nafasi zaidi ya moja kwenye fomu moja atakuwa amepoteza sifa. Angalia kanuni ya 17 (1) & (5) Uk. 152-153

13. Nafasi anayoomba ionekane mpaka kwenye fomu ya kiapo. Angalia kanuni ya 17 (1)Uk. 153 isome sambamba na Kanuni ya 16 (e) Uk. 153

14. Fomu zijazwe kwa ukamilifu. Angalia kanuni ya 17 (2) Uk. 153

15. Eneo la uraia ajaze uraia siyo nchi mfano: Mtanzania na siyo Tanzania. Angalia kanuni ya 17 (1-5) Uk. 153-154

16. Usahihi wa maeneo kwa mujibu wa GN mfano chankobe akiandika chakobe atakuwa amepoteza sifa maana eneo hilo litakuwa halipo ktk GN. Angalia kanuni ya 15 (e) Uk. 152 & Kanuni ya 17 (1-5) Uk. 153-154.

17. Mwombaji aeleze anaomba nafasi ipi na wapi mfano nafasi anayoomba mwenyekiti wa Kijiji cha Kagera vinginevyo atakuwa amepoteza sifa. Angalia kanuni ya 15 (e) Uk. 152

18. Fomu ijazwe taarifa inayohitajika tu, kuwepo kwa maandishi au michoro isiyohitajika hilo ni kosa. Angalia kanuni ya 17 (5) Uk. 154

19. Mgombea arejeshe fomu zote mbili kinyume na hapo hana sifa. Angalia kanuni ya 17 (2), (3) na (4) Uk. 153-154

20. Kama mgombea ameomba nafasi mbili unaweza kumteua nafasi moja. Angalia kanuni ya 17 (1)& (5) Uk. 153-154

21. Mgombea akiwa na ajira, wadhifa au uteuzi wowote katika mihimili ya Serikali atakuwa amepoteza sifa za kuchaguliwa. Anagalia kanuni ya 16 (f)Uk. 153

22. Ikiwa Mgombea alichukua fomu na hakurejesha atakuwa amepoteza sifa za kuchaguliwa. Angalia Kanuni ya 17 (2), (3) na (4)

23. Mgombea ambaye hatadhaminiwa na ngazi ya chini ya Chama chakeatakuwa amepoteza sifa za kuchaguliwa. Angalia mwongozo wa uchaguzi sehemu 14.1 na 14.2 (a)

Kabla ya kulalamika kukatwa majina,Jiridhisheni kwa kila hatua kama mmekidhi vigezo na masharti sio kulalama....
Umeona umeteteaaaaaaa subirini matokeo ya uovu huu tuyanywe woteee hatasalia mtu.
 
CCM waliwapa wagombea wao semina elekezi jinsi ya kujaza wapinzani wakabaki mitandaoni kulalama sasa wamejaza vidole juu wamekosea wanalia .

Panueni akili sio vidole

State agent
Kazi ya namna ya ujazaji ni semina ambayo hutolewa na viongozi wa tume wote na fomu kukosewa kujazwa ni adhabu anayopewa kiongozi wa tume na si mgombea.
 
Naomba niweke sawa hii Kitu!

Iko hivi.

Msajili wa Vyama Vya siasa katika Kumbukumbu zake,hana Chama Kinachoitwa "Chadema" bali ana "Chama Cha Demokrasia na Maendeleo" wala hana "CCM" bali ana "Chama Cha Mapinduzi"

Ndio Maana CCM tulikuwa na Semina Elekezi ili kukumbushana Mambo kama haya na Moja nilishiriki Kama Mgeni Mualikwa!

Ni Kweli Chadema Mmekosea Ujazaji wa Fomu zenu!nimeona fomu moja hadi nikaishia tu kucheka!!Sijui ni kwa sababu hamjui Chama Chenu kinaitwaje?!

Hii ni Legal Technicalities!Kisheria hakuna Chama Kinaitwa "CHADEMA" Wala hakuna Nafasi inayogombewa inaitwa "Mwenyekiti" kulikuwa na nafasi ya "Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa"wewe Unajaza "Mwenyekiti" Daah!!Poleni Watani zangu!

Chama Cha Mapinduzi na Maafisa wake walitimiza Majukumu yao kuwakumbusha wanachama kuhusu miongozo ya Chama wakati huo nyie mlikuwa mnapiga tu Porojo Mitandaoni,hamkuwa na Semina Elekezi??

Mmekosea Kweli na tusubiri Miaka mitano ijayo tukutane tena!!

Asante.

C&P
 
Wanasheria wapi? Nina Jamaa angu ni mtendaji kata kanitonya waliambiwa kabisa wakate kadri inavyo wezekana.

Kwa hiyo Jimbo lote la Mbowe walikosea kujaza fomu si ndio?
Huu ndiyo mwanzo wa machafuko tz kila mtu ajiandae kisaikolojia.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom