Matiti sio kupaumbele mkuu kama ana ndala ya umoja ila tako linalipa naweka pegani naondoka naeWewe matiti ni hamna au si kipaumbele chako.
KwaniniKuanzia leo mimi na jf basiiii !!!
Nyumba ni chooTuseme wewe ni mwanamume na watafuta mchumba , kitu gani utakachoangalia kwanza kabisa?. Yaani kivutio cha kwanza ni kipi? Utavutiwa na nini au sehemu gani ya mwanamke?
Pole .Umekosea ,sivyo unavyofikiria?
Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kitu cha kwanza kabisa wanaume anachoangalia katika mwanamke ni matiti. Naam Matiti.
Chuo kikuu cha Victoria University of Wellington nchini Uingereza, kimefanya utafiti na kubainisha kwamba kabla ya mwanamume kuangalia tabia, elimu au nasaba ya mwanamke wao hupiga jicho kwanza kabisa kifuani kuangalia kukoje?
Haya,mimi nadhani utafiti huu ulifanyiwa wazungu peke yao, sio waafrika. Lakini ndio utafiti wenyewe huo.
Watafiti hao wamegundua kwamba wanaume wengi huwa hawa kupiga jicho ...pa mara moja tu! Hapana! Wao huangalia kwa muda mrefu kabla ya kufikia uamuzi wa nimwambie au nisimwambie?.
Ni utafiti wa chuo kikuu cha Victoria kilichoko Wellington, mjini London, Uingereza.
Jee unafahamu kuwa matiti ya wanawake sio saizi moja? Kwa kawaida moja ni kubwa lengine ni dogo. Wanasayansi wanasema titi la kushoto kawaidi huwa ndilo kubwa kushinda la kulia. Lakini tofauti yao ni ndogo mno kiasi kwamba sio rahisi mtu kugundua utofauti hiyo.
Sijiu kama unafahamu kuwa hata chuchu zenyewe za matiti zina tofautiana kwa ukubwa. Usihadaike ukaziona zote zimechomoka kifuani ukafikiri zinaelekea upande mmoja. La hasha! Chuchu moja inaelekea mbele nyengine upande kidogo
unawatakia nin? Wanachama wa chaputa
Hata mimi huwa naanzia miguu,kinafata hips,baadae tako hvyo vikinivutia basi nakamatwaDaa, kumbe mimi nimepotea. Mi' huwa namalizwa na MIGUU! Yaani ya BIA.
Baada ya hapo, yanafuata mengineyo!
Kwamba wana recall tu..unawatakia nin? Wanachama wa chaputa
Hiyo inaitwa kuscan. Unascan kama antivirus, ukidetect kinachokuvutia unaangalia next step "kuomba namba".Tuseme wewe ni mwanamume na watafuta mchumba , kitu gani utakachoangalia kwanza kabisa?. Yaani kivutio cha kwanza ni kipi? Utavutiwa na nini au sehemu gani ya mwanamke?
Pole .Umekosea ,sivyo unavyofikiria?
Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kitu cha kwanza kabisa wanaume anachoangalia katika mwanamke ni matiti. Naam Matiti.
Chuo kikuu cha Victoria University of Wellington nchini Uingereza, kimefanya utafiti na kubainisha kwamba kabla ya mwanamume kuangalia tabia, elimu au nasaba ya mwanamke wao hupiga jicho kwanza kabisa kifuani kuangalia kukoje?
Haya,mimi nadhani utafiti huu ulifanyiwa wazungu peke yao, sio waafrika. Lakini ndio utafiti wenyewe huo.
Watafiti hao wamegundua kwamba wanaume wengi huwa hawa kupiga jicho ...pa mara moja tu! Hapana! Wao huangalia kwa muda mrefu kabla ya kufikia uamuzi wa nimwambie au nisimwambie?.
Ni utafiti wa chuo kikuu cha Victoria kilichoko Wellington, mjini London, Uingereza.
Jee unafahamu kuwa matiti ya wanawake sio saizi moja? Kwa kawaida moja ni kubwa lengine ni dogo. Wanasayansi wanasema titi la kushoto kawaidi huwa ndilo kubwa kushinda la kulia. Lakini tofauti yao ni ndogo mno kiasi kwamba sio rahisi mtu kugundua utofauti hiyo.
Sijiu kama unafahamu kuwa hata chuchu zenyewe za matiti zina tofautiana kwa ukubwa. Usihadaike ukaziona zote zimechomoka kifuani ukafikiri zinaelekea upande mmoja. La hasha! Chuchu moja inaelekea mbele nyengine upande kidogo
The beauty is on the eyes of the beholder...
Hayanaga muongozo...
Weka picha members wathaminishe...Asante kwa kutoa muongozo
Umetubeba sio ambao hatuna vyote hapo mkuu
Weka picha members wathaminishe...