mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
Uli ni mbosyo!Katavi mi nilikuta watu wanabinjuana ndani ya soda. Hiyo ilikuwa mwaka jana nchini China
Uli ni mbosyo!Katavi mi nilikuta watu wanabinjuana ndani ya soda. Hiyo ilikuwa mwaka jana nchini China
Nasikia kuna jamaa amewahi kuta kondomu kwenye soda....
Hii soda nimenunua hata haijafunguliwa..kuna visoda na mauchafu ya ajabu.
Huo ni ule uchafu tunaouona kutokana na oversight ya industrial process. Swali,vipi ule tusiouona?chemical defects?etc?View attachment 110846
Katavi mi nilikuta watu wanabinjuana ndani ya soda. Hiyo ilikuwa mwaka jana nchini China
mkuu hicho kiganja cha mkono daaah!
Nasikia kuna jamaa amewahi kuta kondomu kwenye soda....
Katavi mi nilikuta watu wanabinjuana ndani ya soda. Hiyo ilikuwa mwaka jana nchini China
mkuu wapi hiyo, mi nishatoa gari kwenye sodaNasikia kuna jamaa amewahi kuta kondomu kwenye soda....
mkuu mi mwenyew nilijuwa ni mguu
Kweli bhana, tuiwatu twenyewe tudogooooooooooooha ha ha haaah!! Bujibuji acha mbwembwe zako aisee...