BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
acha ubanguzi humu jamvin wote tunapedwa na mama na baba JF kwa nini utubangue?
pole...umebanguliwa weyee!
acha ubanguzi humu jamvin wote tunapedwa na mama na baba JF kwa nini utubangue?
kuna watu humu ndani nimewamis si mchezo yupo g. Mpolee, kongosho, liverpoolfc, Invisible, Boflooo, smile. Ao ni baadhi tu. Ukiwaona au wakija nina salam zao.
Shkamoo, Mambo, Hujambo, how are you, hi.
Unaweza chagua salam yoyote!
Kwan wewe haupo?
Hi GeeCee. . . Umelijuaje jina langu la utotoni wakati mi nlijua "thiri" yangu. Lol.
Sorry jamani@Amyner
Basi its between me n u! Hajaona mtu.. karibu lunch GC..
Mphamvu eee! Mara ya kwanza kuona jina lako nikadhan ni mp*um**vu. Usipende shar bhana