Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

Niaje waungwana,

Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote.

Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo inayoongozwa na jemedari Paul Kagame kutoka kabila la watutsi walio wengi serikalini, na wenye maamuzi ya mwisho ya nchi hiyo, japo nafahamu kuwa nchi hiyo ina makabila mengine kama vile wahutu na watwa.

Historia inasema, mnamo miaka ya 60 kuelekea 70, ulifanyika msako nchini Rwanda, kwa lengo la kuwaangamiza wanyarwanda wote wenye asili ya kitutsi. Hali hiyo ya msako ilipelekea maelfu ya watutsi kukimbilia sehem mbali mbali za dunia hii, lakini wengi wao walikimbilia katika nchi jirani za Tanzania, Burundi, Congo na Uganda. Watutsi walipokuwa huko kambini waliishi maisha ya shida na ya mateso makubwa sana (hapa watu waliowahi kuishi kambini watakuwa wamenielewa).

Baada ya mateso ya muda mrefu wakiwa nje ya nchi yao, ikabidi jumuia ya kimataifa ikaingilia kati ili kuangalia uwezekano wa watutsi hao warudi katika nchi yao wakaishi maisha yale yale ya kawaida wanayoishi wanyarwanda wenzao (wahutu na watwa). Mpaka hapo hakuna aliekuwa anajua kwamba kurudi kwao kungekuwa ni kwa usalama kweli au ni mtego wameweka au kuwekewa.

Mwaka 94 (miaka 30 tu iliyopita) makubaliano yakafanyika ili watutsi wale waliokuwa nje waanze kuingia nchini kwao kwa makubaliano maalum ya kulindwa na umoja wa mataifa ili wasidhuriwe kwanza. Na wakati huo kuna baadhi ambao sio politicians walikuwa wameshaanza kuingia. Wakati juhudi za kimataifa zikiendelea kufanyika huko Arusha kwa kuwaandalia hao watutsi mahali watapofikia wale watakaoletwa. Ghafla aliekuwa raisi wa nchi hiyo ambae ndo alikuwa anatoka kufanya mazungumzo ya kuwataharishia wageni wake makazi akatunguliwa akiwa angani.

Bwana wee, kilichofuatia kila mtu anakijua, mauaji ya kimbari yakaanzishwa dhidi ya watutsi. Ilianza chinja chinja, kwa aliehusika na asiehusika, aliekuwepo katika mission ya mauaji na asiekuwepo, wakubwa kwa wadogo, wanawake kwa wanaume, wazee kwa vijana. Yani watutsi walichinjwa kama mbuzi wa machinjioni huku dunia ikiangalia tu kinachoendelea. Lakini kama wazee wetu walivyosema kuwa "kila muosha na yeye ataoshwa". Ghafla hali ikabadilika, wachinjaji (wahutu) wakageuka kuwa wachinjwaji. Kimbembe hadi wakajikuta wako Congo wote, mji na nchi wamewaachia watutsi.

Watutsi walipoingia waliikuta nchi inanuka harufu za maiti zilizooza mitaani, umasikini wa kutupwa, miji michafu nk. Wanyarwanda wakaanza kuijenga nchi yao taratibu huku wakijifunza baadhi ya mambo kutoka kwa majirani zao ikiwemo Tanzania, Uganda, Kenya na hata nchi za magharibi.

Leo hii tunavyoongea ni miaka 30 tu toka waipindue serikali ya kihutu, lakini hatua ya maendeleo iliyochukuliwa ni kubwa mno ukilinganisha na nchi zingine ambazo hazikuwahi kukumbana na vita vya aina yoyote toka uhuru. Rwanda ya leo ina jeshi lake imara, ina silaha zake imara inanunua kutoka nje, ina uchumi mzuri kwa kiasi fulan. Japokuwa nchi hiyo haina rasilimali zozote za maana na pia imetoka vitani miaka 30 tu iliyopita, plus imezungukwa na maadui watupu ukiitoa tu Tanzania na kidogo Uganda, lakini kamwe, hautosikia kuwa Kagame anailinda nchi yake kupitia msaada wa kijeshi wa Marekani, Ufaransa au Russia. Kagame ana maadui wengi kuanzia wa nchi zilizomzunguka hadi kwa makundi fulan ya waasi, lakini kamwe hautomsikia analia lia eti mataifa makubwa yaje yamsaidie kupambana na maadui waliomzunguka.

Ngurunziza aliwahi kumjambisha Kagame kwa kumtumia vikundi vya waasi vikafanye maangamizi katika ardhi ya Rwanda, wale waasi walichokutana nacho huko Rwanda, kimewafanya wengine waliokuwa wanataka na wao waingie ku take advantage wachenji mipango yao. Leo hakuna tena muasi anaetaka kuthubutu kwenda kuvamia ardhi ya Rwanda. Wengi wanaishia kupiga zogo, na mikwara ya hapa na pale huko katika misitu ya Congo, Burundi nk. Hakuna mwenye hamu hata ya kusogelea mpaka, achilia mbali kuvamia nchi. Tshesekedi ashawahi kuchimba mkwara kwa kutumia videge vyake visivyokuwa na rubani, Rwanda yenyewe bila kuhitaji msaada wa Marekani wala Ufaransa, alivishusha videge vile alaf akawapa askari wa Congo wampelekee bosi wao wakamuoneshe kuwa silaha alizokuwa nazo si lolo si chochote, Tshesekedi alivyoona vile akafyata, hadi leo hajarudi kupeleka ndege wala mwanajeshi hata mmoja mpakani. Rwanda chini ya raisi Kagame ina viongozi wasomi ambao hawapendi kuona nchi yao inashindwa kujiendesha yenyewe, wamepambana wenyewe bila msaada wa nchi yoyote kutatua changamoto zao kubwa na ndogo.

Tukija kwa Israel, nayo ni kama Rwanda. Walikimbizwa katika nchi yao na kwenda kuishi Uhamishoni. Nao pia waka face mauaji ya kimbari kama wanyarwanda huko Ujerumani. Japo haijulikani kama walikufa wayahudi wote, na kina Netanyahu (wazungu) wakavishwa uyahudi wa mchongo kwa masilahi ya wazungu wenzao pale Mashariki ya kati. Kina Netanyahu wakaletwa na kupachikwa pale wakiambiwa eti ndio kwao. Anyway hilo sio tatizo.

Tatizo ni kwamba inakuaje nchi ambayo imeanzishwa miaka zaidi ya 75 iliyopita mpaka leo inashindwa kujiendesha yenyewe. Yani pamoja na kutumia media kuipamba sijui Mosad sijui upuuzi gani, lakini bado tunauona ukweli kuwa nchi hii inapata misaada ya kijeshi, silaha na hata bajeti ya nchi kutoka nje. Mbona wanashindwa hata na wanyarwanda ambao wameamu kuishi kwa kujitegemea.

Kama maadui hatari hata Rwanda anao na ana deal nao mwenyewe, so inakuaje Israel nayo ishindwe ku deal nao yenyewe? Yani hata Hamas kikundi cha vijana wasiokuwa na uwezo wa kutengeneza hata gwanda za jeshi ni wa kuwaombea msaada wa kijeshi kutoka Marekani, Uingereza na Ujerumani ili upambane nao kweli?

Yani vijana wasiokuwa hata na kifaru ni wa kuwaendea kwenye vita na midege ya kivita, mivifaru na manuari za kivita kweli?

Ama kweli tumshukuru mtu alieleta utandawazi na simu za internet. Maana zimetusaidia kujua mengi tuliokuwa hatuyajui. Tulikuwa tunadanganywa mengi kuhusu taifa hilo kiasi ya kwamba tulifikiri labda nchi hii imefunikwa na mbingu ya chuma ambacho hakiwezi kuruhusu chochote kibaya kuingia ndani. Lakini kumbe ni taifa la hovyo la wanaoishi kwa kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine. Tena hili la kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine linaonekana ndio utamaduni na asili yao, maana hata yule raisi wa Ukraine ambae ana asili ya kiyahudi na yeye kila siku analia lia ili asaidiwe kupewa silaha na fedha 😂😂😂.

Kwangu mimi Kagame na serikali yake ni watu makini na wenye akili mara mia moja zaidi ya Netanyahu na genge lake la mashoga huko Israel.

Hata hili shambulizi la Iran, waisrael washukuru Mungu nchi takriban 7 zilifanya juhudi usiku na mchana kuzuia mashambulizi yale. Laiti kama wangeachwa kama Rwanda wajitetee wenyewe, leo hii Netanyahu na wahuni wenzake wangekuwa wamefukiwa vifusini.
Screenshot_20240408-171215~2.png
 
Niaje waungwana,

Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote.

Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo inayoongozwa na jemedari Paul Kagame kutoka kabila la watutsi walio wengi serikalini, na wenye maamuzi ya mwisho ya nchi hiyo, japo nafahamu kuwa nchi hiyo ina makabila mengine kama vile wahutu na watwa.

Historia inasema, mnamo miaka ya 60 kuelekea 70, ulifanyika msako nchini Rwanda, kwa lengo la kuwaangamiza wanyarwanda wote wenye asili ya kitutsi. Hali hiyo ya msako ilipelekea maelfu ya watutsi kukimbilia sehem mbali mbali za dunia hii, lakini wengi wao walikimbilia katika nchi jirani za Tanzania, Burundi, Congo na Uganda. Watutsi walipokuwa huko kambini waliishi maisha ya shida na ya mateso makubwa sana (hapa watu waliowahi kuishi kambini watakuwa wamenielewa).

Baada ya mateso ya muda mrefu wakiwa nje ya nchi yao, ikabidi jumuia ya kimataifa ikaingilia kati ili kuangalia uwezekano wa watutsi hao warudi katika nchi yao wakaishi maisha yale yale ya kawaida wanayoishi wanyarwanda wenzao (wahutu na watwa). Mpaka hapo hakuna aliekuwa anajua kwamba kurudi kwao kungekuwa ni kwa usalama kweli au ni mtego wameweka au kuwekewa.

Mwaka 94 (miaka 30 tu iliyopita) makubaliano yakafanyika ili watutsi wale waliokuwa nje waanze kuingia nchini kwao kwa makubaliano maalum ya kulindwa na umoja wa mataifa ili wasidhuriwe kwanza. Na wakati huo kuna baadhi ambao sio politicians walikuwa wameshaanza kuingia. Wakati juhudi za kimataifa zikiendelea kufanyika huko Arusha kwa kuwaandalia hao watutsi mahali watapofikia wale watakaoletwa. Ghafla aliekuwa raisi wa nchi hiyo ambae ndo alikuwa anatoka kufanya mazungumzo ya kuwataharishia wageni wake makazi akatunguliwa akiwa angani.

Bwana wee, kilichofuatia kila mtu anakijua, mauaji ya kimbari yakaanzishwa dhidi ya watutsi. Ilianza chinja chinja, kwa aliehusika na asiehusika, aliekuwepo katika mission ya mauaji na asiekuwepo, wakubwa kwa wadogo, wanawake kwa wanaume, wazee kwa vijana. Yani watutsi walichinjwa kama mbuzi wa machinjioni huku dunia ikiangalia tu kinachoendelea. Lakini kama wazee wetu walivyosema kuwa "kila muosha na yeye ataoshwa". Ghafla hali ikabadilika, wachinjaji (wahutu) wakageuka kuwa wachinjwaji. Kimbembe hadi wakajikuta wako Congo wote, mji na nchi wamewaachia watutsi.

Watutsi walipoingia waliikuta nchi inanuka harufu za maiti zilizooza mitaani, umasikini wa kutupwa, miji michafu nk. Wanyarwanda wakaanza kuijenga nchi yao taratibu huku wakijifunza baadhi ya mambo kutoka kwa majirani zao ikiwemo Tanzania, Uganda, Kenya na hata nchi za magharibi.

Leo hii tunavyoongea ni miaka 30 tu toka waipindue serikali ya kihutu, lakini hatua ya maendeleo iliyochukuliwa ni kubwa mno ukilinganisha na nchi zingine ambazo hazikuwahi kukumbana na vita vya aina yoyote toka uhuru. Rwanda ya leo ina jeshi lake imara, ina silaha zake imara inanunua kutoka nje, ina uchumi mzuri kwa kiasi fulan. Japokuwa nchi hiyo haina rasilimali zozote za maana na pia imetoka vitani miaka 30 tu iliyopita, plus imezungukwa na maadui watupu ukiitoa tu Tanzania na kidogo Uganda, lakini kamwe, hautosikia kuwa Kagame anailinda nchi yake kupitia msaada wa kijeshi wa Marekani, Ufaransa au Russia. Kagame ana maadui wengi kuanzia wa nchi zilizomzunguka hadi kwa makundi fulan ya waasi, lakini kamwe hautomsikia analia lia eti mataifa makubwa yaje yamsaidie kupambana na maadui waliomzunguka.

Ngurunziza aliwahi kumjambisha Kagame kwa kumtumia vikundi vya waasi vikafanye maangamizi katika ardhi ya Rwanda, wale waasi walichokutana nacho huko Rwanda, kimewafanya wengine waliokuwa wanataka na wao waingie ku take advantage wachenji mipango yao. Leo hakuna tena muasi anaetaka kuthubutu kwenda kuvamia ardhi ya Rwanda. Wengi wanaishia kupiga zogo, na mikwara ya hapa na pale huko katika misitu ya Congo, Burundi nk. Hakuna mwenye hamu hata ya kusogelea mpaka, achilia mbali kuvamia nchi. Tshesekedi ashawahi kuchimba mkwara kwa kutumia videge vyake visivyokuwa na rubani, Rwanda yenyewe bila kuhitaji msaada wa Marekani wala Ufaransa, alivishusha videge vile alaf akawapa askari wa Congo wampelekee bosi wao wakamuoneshe kuwa silaha alizokuwa nazo si lolo si chochote, Tshesekedi alivyoona vile akafyata, hadi leo hajarudi kupeleka ndege wala mwanajeshi hata mmoja mpakani. Rwanda chini ya raisi Kagame ina viongozi wasomi ambao hawapendi kuona nchi yao inashindwa kujiendesha yenyewe, wamepambana wenyewe bila msaada wa nchi yoyote kutatua changamoto zao kubwa na ndogo.

Tukija kwa Israel, nayo ni kama Rwanda. Walikimbizwa katika nchi yao na kwenda kuishi Uhamishoni. Nao pia waka face mauaji ya kimbari kama wanyarwanda huko Ujerumani. Japo haijulikani kama walikufa wayahudi wote, na kina Netanyahu (wazungu) wakavishwa uyahudi wa mchongo kwa masilahi ya wazungu wenzao pale Mashariki ya kati. Kina Netanyahu wakaletwa na kupachikwa pale wakiambiwa eti ndio kwao. Anyway hilo sio tatizo.

Tatizo ni kwamba inakuaje nchi ambayo imeanzishwa miaka zaidi ya 75 iliyopita mpaka leo inashindwa kujiendesha yenyewe. Yani pamoja na kutumia media kuipamba sijui Mosad sijui upuuzi gani, lakini bado tunauona ukweli kuwa nchi hii inapata misaada ya kijeshi, silaha na hata bajeti ya nchi kutoka nje. Mbona wanashindwa hata na wanyarwanda ambao wameamu kuishi kwa kujitegemea.

Kama maadui hatari hata Rwanda anao na ana deal nao mwenyewe, so inakuaje Israel nayo ishindwe ku deal nao yenyewe? Yani hata Hamas kikundi cha vijana wasiokuwa na uwezo wa kutengeneza hata gwanda za jeshi ni wa kuwaombea msaada wa kijeshi kutoka Marekani, Uingereza na Ujerumani ili upambane nao kweli?

Yani vijana wasiokuwa hata na kifaru ni wa kuwaendea kwenye vita na midege ya kivita, mivifaru na manuari za kivita kweli?

Ama kweli tumshukuru mtu alieleta utandawazi na simu za internet. Maana zimetusaidia kujua mengi tuliokuwa hatuyajui. Tulikuwa tunadanganywa mengi kuhusu taifa hilo kiasi ya kwamba tulifikiri labda nchi hii imefunikwa na mbingu ya chuma ambacho hakiwezi kuruhusu chochote kibaya kuingia ndani. Lakini kumbe ni taifa la hovyo la wanaoishi kwa kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine. Tena hili la kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine linaonekana ndio utamaduni na asili yao, maana hata yule raisi wa Ukraine ambae ana asili ya kiyahudi na yeye kila siku analia lia ili asaidiwe kupewa silaha na fedha 😂😂😂.

Kwangu mimi Kagame na serikali yake ni watu makini na wenye akili mara mia moja zaidi ya Netanyahu na genge lake la mashoga huko Israel.

Hata hili shambulizi la Iran, waisrael washukuru Mungu nchi takriban 7 zilifanya juhudi usiku na mchana kuzuia mashambulizi yale. Laiti kama wangeachwa kama Rwanda wajitetee wenyewe, leo hii Netanyahu na wahuni wenzake wangekuwa wamefukiwa vifusini.
Sijaona kitu chochote special 🚮🚮
 
Niliwahi kuchangia kwenye uzi wako fulan nikifikiri kuwa wewe ni timamu, lakini baada ya kufuatilia baadhi ya nyuzi zako zingine, nikagundua kwamba wewe ni miongoni mwa hao jamaa wa bendera ndo maana uko upande wa wenzako huko Israel.

So hauwezi kuwa sawa ki akili na ki mwili.
Screenshot_20240408-165947~2.png
 
Hivi hapo Rwanda ukiacha Kigali kuna jiji lingine zuri na tajiri
Wasafi nje tu.Kwanza washamba sana alafu ni wachafu.Just imagine mwanamke ana chumba cha master lakini anaweka kopo la kukojolea ndani hatumii chooo yaani ndiyo utamaduni wa wanawake wa huko.
 
Ukabila aliuanzisha mungu wa wayahudi kwa kusema kuwa ameichagua Israel pekee kuwa taifa lake pendwa, na wakati ameumba zaidi ya mataifa mia moja ikiwemo nchi yako Tanzania. Yani kwake yeye taifa la mashoga ni bora kuliko taifa lako linalopambana kupiga vita ushoga. Pia amechagua kuwa upande wa wayahudi sio upande wenu nyinyi wapogoro wa kiafrika ambao hana mpango na nyinyi.
Screenshot_20240408-150506~2.png
 
Umeandika ujinga kijana. Nyinyi mmekuwa mkiisifu Israel kuwa ina nguvu, huku mkificha ukweli uliokiri hapa kuwa nguvu hizo zinasababishwa na usaidizi wa wazungu.

Sasa kilichofanyika siku kadhaa zilizopita, ndo kimeashiria kuwa Israel haiwezi kupambana yenyewe na Iran bila kusaidiwa. Halaf inawezekana vipi wazungu walinde himaya yao. Himaya ya wazungu ipo Ulaya na sio Mashariki ya kati.

Tumia akili, badala ya tundu kufikiri.
.trashed-1716218475-images (1) (15).jpeg
 
Wasafi nje tu.Kwanza washamba sana alafu ni wachafu.Just imagine mwanamke ana chumba cha master lakini anaweka kopo la kukojolea ndani hatumii chooo yaani ndiyo utamaduni wa wanawake wa huko.
Dooh kweli waafrika akili zetu zinafanana haijalishi mazingira, ustaarabu bado ni kipengele kwa wengi wetu, kwahiyo hata wale wa kishua nao wanafanya hivi
 
Dooh kweli waafrika akili zetu zinafanana haijalishi mazingira, ustaarabu bado ni kipengele kwa wengi wetu, kwahiyo hata wale wa kishua nao wanafanya hivi
Mimi nimekutana na wawili mmoja alikuwa anafanya kazi AMREF na mwingine nilifanya naye kazi SPRAKAB kwa hiyo wanajiweza kiuchumi, nilishangaa lakini huko kwao ni kawaida kuwa na kopo ndani.Usikute hata kwenye Bedroom ya Kagame mama Janet Kagame kaweka kopo ndani.
 
Mimi nimekutana na wawili mmoja alikuwa anafanya kazi AMREF na mwingine nilifanya naye kazi SPRAKAB kwa hiyo wanajiweza kiuchumi, nilishangaa lakini huko kwao ni kawaida kuwa na kopo ndani.Usikute hata kwenye Bedroom ya Kagame mama Janet Kagame kaweka kopo ndani.
Hahaha na wanavyosifiwa kwa ule uzuri sasa
 
Back
Top Bottom