TinyMonster
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 248
- 154
Nilikuwa napekua page za Facebook nikakutana na hii kali kwenye page ya Tanesco eti wanaomba radhi kwa kutokuwepo umeme.
https://www.facebook.com/pages/Tanesco/186255581435542
Tanesco
Wapendwa wateja, umeme unaozalishwa kwa sasa ni mdogo kuliko matumizi halisi ya wananchi. Shirika kwa kushirikiana na serikali pamoja na makampuni binafsi tunafanya kila jitihada kuhakikisha tatizo hili linakwisha haraka iwezekanavyo.
Hivi nani kawaambia tunataka excuse zaidi ya umeme? huo muda wanaopoteza kukaa Facebook kwa nini wasishughulikie umeme na kupokea simu za wateja ambao wanapiga kuuliza ratiba ya mgao? Who's running that page anyway?
https://www.facebook.com/pages/Tanesco/186255581435542
Tanesco
Wapendwa wateja, umeme unaozalishwa kwa sasa ni mdogo kuliko matumizi halisi ya wananchi. Shirika kwa kushirikiana na serikali pamoja na makampuni binafsi tunafanya kila jitihada kuhakikisha tatizo hili linakwisha haraka iwezekanavyo.
Hivi nani kawaambia tunataka excuse zaidi ya umeme? huo muda wanaopoteza kukaa Facebook kwa nini wasishughulikie umeme na kupokea simu za wateja ambao wanapiga kuuliza ratiba ya mgao? Who's running that page anyway?