alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Tanesco ni janga la Taifa..,tumuombe Yarabi atunusuru
Kuna mtu anaitwa Badra Massoud simpendi yule mdufi yaani yeye anatumwa kuja kutuambia uwongo uwongo tu ka sio mtz yeye anaona sifa kuuza sura kwenye luninga, dada kuuza sura kwa wizara kama hiyo inayoonga wabunge hadi chai bila kitafunwa nia aibu.
What a 'stupid' explaination....hivi nani asiyejua kuwa huduma fulani inapokosekana, basi uzalishwaji wa hiyo huduma ni mdogo kuliko mahitaji? Is that the expalination Tanzanians want (if at all we need an explaination)? Atakuwa Badru tu huyu...Nilikuwa napekua page za Facebook nikakutana na hii kali kwenye page ya Tanesco eti wanaomba radhi kwa kutokuwepo umeme.
https://www.facebook.com/pages/Tanesco/186255581435542
Tanesco
Wapendwa wateja, umeme unaozalishwa kwa sasa ni mdogo kuliko matumizi halisi ya wananchi. Shirika kwa kushirikiana na serikali pamoja na makampuni binafsi tunafanya kila jitihada kuhakikisha tatizo hili linakwisha haraka iwezekanavyo.
Hivi wewe kibwengo unajuwa maana ya serikali? kama umeishiwa hoja nenda facebook kabadilishane picha na dada zako, usituletee mambo ya kipuuzi hapa, au tafuta watoto wenzako wa kufanya nao mzaha.Mbona hao CDM wapo serikalini?..wapo kwenye kamati za bunge,na ni moja kati ya watu waliopitisha bajeti ya Ngeleja.