hii yà nyuki 😆😆
This one is relevant. Palestine walieapokea Israel kama wakimbizi ila wakajakuwageuka. Imagine umkaribishe mtu baki kwako umpe makazi halafu aje ajimilikishe nyumba yako na kuanza kukunyanyasa na kuua watoto wako kwa msaada wa majaa fulani yenye nguvu.
Ngumu kukubali kuwa mgeni kwenye nyumba unayoamini umezaliwa. Nyumbani sio majengo, nyumbani ni hisia na kamwe hazihami kizembe.This one is relevant. Palestine walieapokea Israel kama wakimbizi ila wakajakuwageuka. Imagine umkaribishe mtu baki kwako umpe makazi halafu aje ajimilikishe nyumba yako na kuanza kukunyanyasa na kuua watoto wako kwa msaada wa majaa fulani yenye nguvu.
Tuwekee na zenu zikionesha mlivyo sasa baada ya kuwa mashoga