Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Angalia Dunia ukiwa sayari ya Mars.
Hii ni picha imechapishwa na NASA ikionyesha Dunia kutokea Mars.
Hii ni picha imechapishwa na NASA ikionyesha Dunia kutokea Mars.
Hakika sikupingiMungu fundi....
Ufundi wake ni upi?Mungu fundi....
Mungu fundi....
Wewe hiyo jioni unajuaje kama zinazoonekana ni nyota na sio jua ndogo ndogo ama jua lililogawanyika?Aaaaaah porojo hizo hata wewe unaweza kwenda kupiha picha mida ya jioni linyota moja na ukasema angalia mars inavyoonekana ukiwa mwezini
Umepotoka sanaMungu yupi, yule anaeahidi waumini wake ngono non stop mizagamuano mbinguni? Huyo anaweza kua na akili ya kuiweka Dunia hapo ilipo kama anawaza mizagamuano muda wot?
Kaitundika pasipo na kitu ili baadae aje aichome moto vizuri na viunbe wote waliomo sio?Kuna mahali kwenye biblia inasema 'yeye( mungu) huitundika dunia pasipo na kitu'. Hakika mungu alijipanga sana kuumba ulimwengu
NASA wananufaika vipi na hizi projects zao?
Kuna longolongo kibwena kwenye hizi infos zao
Uongo huo tena wa wazi wazi kabisa,waseme hiyo picha waliipiga wakiwa wapiAngalia Dunia ukiwa sayari ya Mars.
Hii ni picha imechapishwa na NASA ikionyesha Dunia kutokea Mars.
View attachment 2751415
Kaitundika pasipo na kitu ili baadae aje aichome moto vizuri na viunbe wote waliomo sio?