Angalia picha ya Dunia ukiwa Sayari ya Mars

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,906
Angalia Dunia ukiwa sayari ya Mars.

Hii ni picha imechapishwa na NASA ikionyesha Dunia kutokea Mars.
Screenshot_20230916_202108_Gallery.jpg
 
Kuna image ya dunia iliyopigwa na chombo cha voyager2 ambacho kipo angani tokea miaka ya 70. Nikasema duh kumbe dunia ni kama tone kweny mchanga wa bahari
 
Kaitundika pasipo na kitu ili baadae aje aichome moto vizuri na viunbe wote waliomo sio?

Kama wewe umeamua na kupanga kufanya jambo, haitakua ajabu mtu mwingine kuishangaa mipango yako?

Kama amesema kabisa ameitengeneza, ataichoma moto, shida Iko wapi?
 
Back
Top Bottom