St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,654
- 4,544
Mkuu hapa hata mimi nakosa majibu.... Hawa watu(Babu zetu) waliwezaje kugundua teknolojia ya kuzuia kifo mpaka wewe mwenyewe muhusika unayekufa ukubali kufa ndio ufe.. Hii inamaanisha kuwa walikuwa wamepiga hatua kubwa sana katika fumbo la uhai na kifo.. Fumbo ambalo leo hii tumerudi mwanzo kabisa na hatuna ujanja wowote..100% exactly