Anayeua wanawake Dar es Salaam ashitukiwa

"Muuaji anapendelea kuvaa suruali ya jeans, fulana nyeupe na kofia na raba"
Huo utambuzi umeniacha hoi.
 
Kumbe wake za watu sio waaminifu? Wanakutana na mtu njiani tu wanampa ndoa yao? Jesus. Nikwavile jamaa anawaua ndio maana simsupport ingekuwa adhabu nyingine wallah ningempa baraka zangu.

Kaka umeona enhh! duuh, na hawa tumejua kwakuwa wameuwa.....sasa ni wake za watu wangapi wanachakachuliwa kila siku...aiseeh, kuoa gharama!
 
lakini kwa nini wake za watu ?ngoja awalekebishe kwa sababu wamezidi lakini angejitahidi abadishe style ya kurekesha tabia siyo kuua

 
kumbe wanamfaham!!!sasa kwann wanashindwa kumkamata

Kwa utambuzi huu sijui watakamatwa wangapi...ukikatiza tu mtaani utakuna na vijana kadhaa weupe, wavaa majeans, raba na tshirt nyeupe...hawa kina kova bwana! kama hawako serious vile.
 
Huyo atakuwa na ugonjwa wa akili. Hata kule UK mwaka fulani sikumbuki (2005 au 6 hivi) Met Police waliwahi kukamata mtu mmoja aliyekuwa na tabia ya kuua machangudoa wa kule. Na alikuwa na chaguo lake: blonde tu. Alikuwa anawavizia wanakojipanga anachagua mmoja anampakia kwenye ki-fiat chake, anapeleka nyumbani kwake kabisa, anafanya akimaliza ananyonga anapakia kwenye buti ya gari kisha anaenda kumtupa. Hadi anakamatwa alishanyonga 9 na kuwatupa sehemu mbalimbali kwenye mitaro, public parks, chini ya daraja, mtoni nk. Kule waliweza kumkamata kwa ku-review zile CCTV footage kutoka kwa zile camera walizotega maeneo hayo ya machangudoa. Na alikiri mwenyewe mahakamani kuwa aliua wote hao kwa kuwa anachukia tabia yao, na pia ati alitaka kuonesha hasira yake kwa kitendo cha serikali kuacha biashara ya uchangudoa ishamiri, ati akadai ni kinyume cha maadili. Alitwangwa life imprisonment. Swali litakaloendelea kutusumbua ni hili: Ikiwa katika hiyo nchi iliyoendelea na yenye vifaa vya kisasa na mbinu kali walikufa kwanza watu 9 ndipo muuaji akakamatwa, hapa kwetu na 'usanii' huu na uduni wa vitendea kazi kuna uwezekano wowote wa kukamatwa huyu?
 
Wanume naona mmekuja juu. SI mlishakubaliana na ile thread ya 71% ya wanandoa ni cheaters. Sasa msishangae, wanandoa ni mke na mume. Mwanamke akitoka nje ya ndoa inakuwa issue. Mwanaume yeye akicheat inaonekana kawaida. Kwa sasa mimi naloona watu wamemua badala ya kukaa na kulia lia kwa wivu na wao watafute vitulizo ili iwe equal playing field.
 
.

Kamanda Kova alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa polisi imepata taarifa kuhusiana na mwanaume mweupe anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30, anayependelea kuvaa suruali aina ya Jeans, fulana nyeupe, raba na kofia kwamba ndiye mhusika wa matukio hayo ya mauaji.

.

Kwa maelezo hayo apo itabidi nibadilishe mavazi ili kutoingilia upelelezi wa Polisi na buguruni itabidi nipite kimachale sana, koz kwa akili raia wenye hasira kali anaweza mpuuzi mmoja akakukaba, wakati unakurupushana naye akisema tu yule jamaa muuaji ndiye huyu basi ujue kama wewe una sifa zilizotajwa hata Polisi hupelekwi watajifanya wananchi wenye hasira kali na kukumaliza. Ni tahadhari nzuri lakini kwa akili ya watanzania lazima kuna watu wataathirika pasipo hatia
 
Tutakamatwa wengi hata mimi ni mweupe na pia navaa hivo sijui niende kabla hawajanikamata lol!
 
hao maserial killer tulikuwa tunawaona kwenye mativii tu kama hapo bongo yupo,guarantee ni atamaliza watu kutokana na utaalamu mdogo wa polisi wetu kukabiliana na ishu kama hizi,tuombe tu jamani ajifie zake au akamatwe kwa muujiza ili asiendelee kuuwa innocent people.:frusty:
 
hivi hadi mwanamke aliyeolewa anaenda nje ya ndoa kuzini na mwanaume mwingine inapendeza kweli au?dawa ni kuendelea kuwaua ili kukomesha maambukizi ya ukimwi hovyo hovyo:frusty:
 
Uzinzi ni uzinzi, akizini mwanume dume la mbegu. Akizini mwanamke, malaya. Mkikemea tabia ya uzinzi mkemee kwa wote si wanawake tu!


hivi hadi mwanamke aliyeolewa anaenda nje ya ndoa kuzini na mwanaume mwingine inapendeza kweli au?dawa ni kuendelea kuwaua ili kukomesha maambukizi ya ukimwi hovyo hovyo:frusty:
 
waseme ni mtu 'local' wa hayo maeneo,anawasoma victims wake kabla hajawatokea,haiwezekani 'ukajua' tu kuwa huyu ni mke wa mtu kwa kukutana naye na pia haiwezekani kila mwanamke akamkubalia siku ya kwanza tu anapokutana nao atakuwa anajenga mazoea nao kwanza au anajulikana kwa hao watu kidogo...mtazamo wangu lol:frusty:
 
lazima awasome kwanza
waseme ni mtu 'local' wa hayo maeneo,anawasoma victims wake kabla hajawatokea,haiwezekani 'ukajua' tu kuwa huyu ni mke wa mtu kwa kukutana naye na pia haiwezekani kila mwanamke akamkubalia siku ya kwanza tu anapokutana nao atakuwa anajenga mazoea nao kwanza au anajulikana kwa hao watu kidogo...mtazamo wangu lol:frusty:
 
Mambo ya Forensics bado sana bongo. Ingekuwa majuu tayari law enforcement wangekuwa washatoa sketch composite ya huyo mtu. Lakini wapi.

Nimemwona Kova juzi akiongea huku akiwa mikono tupu. Hakuna hata description ya huyo mtu zaidi ya kusema eti ni maji ya kunde. Hakuna cha maelezo huyo mtu ana umbile gani, mrefu ama mfupi (height), mnene ama mwembamba (weight), ana ndevu au hana, nywele zake zikoje, na kadhalika.

Bongo bana....kweli tambarare.
 
it z very dangerous... cjui ni zama za mwisho au... thanx wanausalama kwa kuvalia njuga such issue..
 
Back
Top Bottom