Kwa hiyo yeye anahitaji wake za watu tu? Kutakuwa na sababu ya huyo jamaa kuwalenga wake za watu zaidi..
Huenda alisalitiwa na mke wake na hivyo kuishia kuchukia wanawake wote waliokuwa katika ndoa na ambao si waaminifu; mungu amsamehe na ampe rehema ya kusamehe waliomkosea ili aondokane na kamba za kuzimu.