Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Ni huku huku MabwepandePembezoni mwa Jiji ndio wapi huko ?
Ni huku huku MabwepandePembezoni mwa Jiji ndio wapi huko ?
Hujuma za mabepari wa makampuni ya Simu hao hata maxmelo ananunuliwa tu simpleKUNA UZI ULIWEKWA KUISHAURI TTC L UKAFYEKELEWA MBALI NA MODS
Kumbe tuko jiraniNi huku huku Mabwepande
Karibu sana kijijini kwangu PeraMiho(PM)Kumbe tuko jirani
Karibu sana kijijini kwangu PeraMiho(PM)
SawaNauli ya kunifikisha huko ndio tatizo wacha nisubiri Korosho hapa
Kabisa wametumwa na wazungu,hawaitakii mema nchi yetu.Nyinyi msiopata 4g mtakuwa mmetumwa na mabeberu
moshono..hata kimandolu pia huwa haisumbuagiMaeneo gani
Na vp kuhusu unga ltd mkuumoshono..hata kimandolu pia huwa haisumbuagi
Na vp kuhusu unga ltd mkuu
pande hizo sina uhakika sana maana napitaga huko mara moja moja...ila nafkiri itakua vizuri tu..tatizo la ttcl ni vocha zake..mpaka uende townNa vp kuhusu unga ltd mkuu
Hivi nani aliyewaingiza mkenge , ukiacha nabii Issah hakuna marehemu aliyewahi kufufuka .Mimi kwangu naona kwa sasa inasoma Roming tu, sijaona 4G kwa miezi kadhaa sasa na niko dar es salaam tena posta mpya hiyo roming ukitoa ndio balaa hata watsap haiwez kuingia
Piga hapa 0222116666 utapata msaada wa haraka ndugu.Hawa ttcl toka Jana ukipiga huduma kwa wateja mda wrote wapo busy ... Nataka PUK mpaka natamani kuitupa na line yenyew
Mrejesho muhimuSijawahi kutumia huduma zao ngoja nikasajili kesho laini yao nije kutoa ushuhuda.