hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,245
- 8,533
- Thread starter
- #21
Hawa TTCL mimi binafsi sijawahi kuwaamini hata siku moja,nimenunua SIM card yao nimeitupa tu magetoni.
Na upatikanaji wa vocha ndio ishu ukiwauliza wanakwambia unaweza nunua kwa tigo pesa, yan wanakulazimisha uwe na line nyingine ya tigo