Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,435
- 23,091
Mkuu usianze kuwakandia,wasiliana nao wakuambie kuna shida gani.Hii takataka ni ya kufyekelea mbali
Mkuu usianze kuwakandia,wasiliana nao wakuambie kuna shida gani.Hii takataka ni ya kufyekelea mbali
Location yako tu brooMimi kwangu naona kwa sasa inasoma Roming tu, sijaona 4G kwa miezi kadhaa sasa na niko dar es salaam tena posta mpya hiyo roming ukitoa ndio balaa hata watsap haiwez kuingia
Hata mimi kwangu 4G ya TTCL inakimbiza balaaa iko vizuriHakuna 4G nzuri kama ya ttcl,mkuu simu yako itakuwa ina matatizo!!
View attachment 938090
Kitu mnara kinasoma 4G
Mie nilijikuna kidogo nikitegemea itastuka, lakini wapi. Mwendo ule ule wa Kobe.nnamoderm yao iliuwa inasoma 4G ila nispeed konokono nikamua kuiflekelea mbali.
Na upatikanaji wa vocha ndio ishu ukiwauliza wanakwambia unaweza nunua kwa tigo pesa, yan wanakulazimisha uwe na line nyingine ya tigo
kwa ambae yuko sehemu ambayo ana uhakika afu hapati 4G afanye yafuatayo:
Njia ya kwanza
1. kama TTCL inatumika kama line 2, iweke iwe line 1 kisha weka network mode yake kuwa LTE/3G (auto connect)
Njia ya pili
2. kama inaonyesha R juu ya mnara (kwa baadhi ya watu pamoja na H+), nenda kwenye settings za internet tafuta sehemu imeandikwa roaming kisha izime. zima data, afu washa
Njia ya tatu
3. hizo zote zikikataa, nenda TTCL ofisini kawatukane afu pita hv temana nao!
naamini itamsaidia mtu.
Maeneo ganiArusha huku inakamata 4G vizuri tu...
Pembezoni mwa Jiji ndio wapi huko ?Jaribu kuiseti vizuri upata japo H+.
Mimi huwa natumia 3G inaenda vizjri tu tena huku pembezoni mwa jiji
Ttcl imepandikizwa magugu na makampuni binafsi ya Simu ili isije kufanikiwa na kuwasababishia hasara makampuni binafsi ndo maana hadi Leo vocha zake azipatikani kirahisi ni hujuma viongozi wa TTCL na baadhi wa wizara husika wamenunuliwa kuujumu TTCL polepole kama mashilika ya reli yalivyo ujumiwaNa upatikanaji wa vocha ndio ishu ukiwauliza wanakwambia unaweza nunua kwa tigo pesa, yan wanakulazimisha uwe na line nyingine ya tigo