Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 5,342
- 9,799
Mzee izo unazo zungumza n zile zina soma 4G iyo kitu ime simama ndo maana ika leta na 4G LTE baa mbili zisi kutisheeengoja wataalam wa IT waje hivi kweli bar mbili za network ziweze kutoa 4G tena faster? Isije ikawa unatumia zile simu ambazo hata kama hazina line zinaweka 4G
