Hewa mkaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 748
- 386
Kweli kabisa TTCL ni ugonjwa wateja wenyewe ni 5.4k lakini unapiga customer care hawana Masada wowote !

Mwendo wa kobeee hapooo bado
kwangwaru.com![]()
Hakuna shirika la umma linalojua kufanya biashara bwana unachuma dhambi tu kuwasingizia mitandao mingineTtcl imepandikizwa magugu na makampuni binafsi ya Simu ili isije kufanikiwa na kuwasababishia hasara makampuni binafsi ndo maana hadi Leo vocha zake azipatikani kirahisi ni hujuma viongozi wa TTCL na baadhi wa wizara husika wamenunuliwa kuujumu TTCL polepole kama mashilika ya reli yalivyo ujumiwa
Wewe uwezi jua ujuma zipo waziHakuna shirika la umma linalojua kufanya biashara bwana unachuma dhambi tu kuwasingizia mitandao mingine
Hamna Hujuma ni fikra zako tu,hakuna mtu anayeweza kuwapanga wafanyakazi wote washindwe kutoa huduma kwa jamii alafu serikali isijue,mashirika haya yamejaa watu wa system tu kila sehemu ina maana wameshindwa kujua hizo hujma? Unapiga simu customer care hata masaa mawili hakuna anaye respond,kwa hyo wanakuaga wanaambiwa kuwa acha usipokee? Ukiweka pesa yako T.PESA sahau kuitoa siku ukiwa na shid maana muda wowote mitandao inakata,hapa tu Dar sehemu kubwa kibiashara network za TTCL ni za ku pump,kujua tu dakika ngapi zimebak,naweza usipate majibu,alafu hnasingizia hujma,kama hujma ingekuwepo Magu angeshapata habari mapema tu maana vijana wake wako kila sehemuWewe uwezi jua ujuma zipo wazi
Kwaiyo magu anashindwa kupata habari za wafanzakazi wazembe ili mashirika ya uma yaendelee maana kama siyo ujuma ni uzembeHamna Hujuma ni fikra zako tu,hakuna mtu anayeweza kuwapanga wafanyakazi wote washindwe kutoa huduma kwa jamii alafu serikali isijue,mashirika haya yamejaa watu wa system tu kila sehemu ina maana wameshindwa kujua hizo hujma? Unapiga simu customer care hata masaa mawili hakuna anaye respond,kwa hyo wanakuaga wanaambiwa kuwa acha usipokee? Ukiweka pesa yako T.PESA sahau kuitoa siku ukiwa na shid maana muda wowote mitandao inakata,hapa tu Dar sehemu kubwa kibiashara network za TTCL ni za ku pump,kujua tu dakika ngapi zimebak,naweza usipate majibu,alafu hnasingizia hujma,kama hujma ingekuwepo Magu angeshapata habari mapema tu maana vijana wake wako kila sehemu