Anayeogopwa na Serikali.

Anayeogopwa na Serikali.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,663
Adawi%2B66.JPG


AL ADAWI.
 
Lazima aogopwe huwa wanakuwa mafilauni hawa!
 
hawamuogopi wala nini ila ndio mlango wao wa kula pesa za walipa kodi.wanatuchezea movie tu hawa,hawana lolote.
 
Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa?
 
Vyombo vyetu vya usalama vimekuwa kama mbwa koko, vinaogopa wezi na wavamizi, vikiamrishwa kufukuza wezi na wavamizi vinawageaukia wamiliki na kuwang'ata!
 
ingekuwa S.A ningemshoot huyu kibara wa serikali
 
Back
Top Bottom