Anayejua Kuhusu Majibu ya Usahili PPF

Anayejua Kuhusu Majibu ya Usahili PPF

hekimanyingi

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
679
Reaction score
573
Wadau, kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu matokeo ya usahili wa kuandika tuliofanya Julai mwanzoni pale DUCE Chang'ombe tupeane habari isije ikawa ni subiri hewa kumbe watu wapo kazini. Ilikuwa ni nafasi za Contribution Trainee PPF.
 
Wadau, kwa yeyote
mwenye taarifa kuhusu matokeo ya usahili wa kuandika tuliofanya Julai
mwanzoni pale DUCE Chang'ombe tupeane habari isije ikawa ni subiri hewa
kumbe watu wapo kazini. Ilikuwa ni nafasi za Contribution Trainee
PPF.

mkuu mbona nimesikia wameshawaita watu for oral interview na itakuwa hata wameshaanza kazi kwa mujibu wa habari nilizopata.
 
Tuliitwa kufanya oral interview tarehe 11 mwezi wa saba tukaambiwa tutaitwa kazini baada ya wiki mbili kwa atakaekua kafaulu hadi sa hivi hata sijui kama kuna wenzangu wameanza job ama la maana hizo wiki mbili zilisha pita naukiona kimyaa basi ujue........
 
Nilitegemea tu yangekuwa haya kwa jinsi navyojua mm ze way ajira ktk haya mashirika ya hifadhi za jamii zinavyokuwa.
Mungu atatusaidia ss tusiokuwa na wajomba au mashangazi vigogo ktk nchi hii..
 
Back
Top Bottom