JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Nakuja mbele yenu nikiwa na nia thabiti kabisa ya kuwaroga matapeli walionitapeli leo kwenye kibanda changu cha tigopesa pale maeneo ya Kimara.
Wamepiga simu kwa dada wa kibandani na kumdanganya wanafanya setting kumbe wanahamisha pesa, wameondoka na zaidi ya laki 7, nipo tayari kutii mashariti ya mganga ili tu na wao niwaroge, mwenye msaada ya mganga mzuri wa haya mambo anisaidie.
Wamepiga simu kwa dada wa kibandani na kumdanganya wanafanya setting kumbe wanahamisha pesa, wameondoka na zaidi ya laki 7, nipo tayari kutii mashariti ya mganga ili tu na wao niwaroge, mwenye msaada ya mganga mzuri wa haya mambo anisaidie.