Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,240
Hapo umetaja brands..taja aina ya perfume/cologneNgoja mm nikupe list hapa Kazi iwe kwako kuumiza AKILI lkn nukuu ongezea iyo pesa yako Ndugu yang .Nukuu hautokuja kujutia ukitumia hizi bidhaa
Changamoto zake ni kusumbuliwa na wadada
1.Brown orchid
2.Echo
3.Versace
4.Zara
5.Dior
6.GreedAventus sio ile og.
7.Axe polo
8.Hayaat
9.Dark fever
10. Dirham
Mkuuu moja Kati ya hizi bidhaa ni kwere inkaa kwenye nguo 24hours na zaid depends na mazingira unashinda ww
Mademu nje nje huvutiwa na zile harufu quite and smooth haikeri .Sijaweka bei lkn angalau uwe na 25k utaopoa mojawapo kila la kheri katika Safar ya kuwa gentleman
mfano dior sauvage..maana zipo collection nyingi nyingi kwenye brand moja..
So njia uliotumia kurecommend hizo bidhaa sio sahii au sio nzuri