Anayejua aina nzuri ya perfume

Ngoja mm nikupe list hapa Kazi iwe kwako kuumiza AKILI lkn nukuu ongezea iyo pesa yako Ndugu yang .Nukuu hautokuja kujutia ukitumia hizi bidhaa


Changamoto zake ni kusumbuliwa na wadada

1.Brown orchid
2.Echo
3.Versace
4.Zara
5.Dior
6.GreedAventus sio ile og.
7.Axe polo
8.Hayaat
9.Dark fever
10. Dirham
Mkuuu moja Kati ya hizi bidhaa ni kwere inkaa kwenye nguo 24hours na zaid depends na mazingira unashinda ww



Mademu nje nje huvutiwa na zile harufu quite and smooth haikeri .Sijaweka bei lkn angalau uwe na 25k utaopoa mojawapo kila la kheri katika Safar ya kuwa gentleman
Hapo umetaja brands..taja aina ya perfume/cologne

mfano dior sauvage..maana zipo collection nyingi nyingi kwenye brand moja..

So njia uliotumia kurecommend hizo bidhaa sio sahii au sio nzuri
 
Perfume na body spray yake kwa 17k tu mzigo upo mikononi harufu yake ni nzuri haikeri
Ngoja nijipulizie nikajaribu kumtongoza mtoto mzuri emmy nitareta mrejesho!! 😂😃View attachment 1706251View attachment 1706252
Perfume na body spray yake kwa 17k tu mzigo upo mikononi harufu yake ni nzuri haikeri
Ngoja nijipulizie nikajaribu kumtongoza mtoto mzuri emmy nitareta mrejesho!! 😂😃View attachment 1706251View attachment 1706252
Wapi naipata hiset??
 
Mie nikisikia harufu ya perfume yeyote, nachefukwa na vinginevyo kutapika kabisaa. Aaaah
 
Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo
Jinsia yangu ni mme

Ahsanteni
Hiyo mi nilinunua Zanzibar kwa 20,000 ila ni nzuri mno haikeri na imepoa hivi ila inakaa sana.
20210228_222727.jpg
 
Back
Top Bottom